Serikali kumfunga Sugu was a political mistake!

Serikali kumfunga Sugu was a political mistake!

Mimi ni mwana CCM, tena natembelea sana huko Mbeya.

Kwa kusema ukweli, kumfunga Sugu imemuongezea sana umaarufu.
Mbaya zaidi kitendo hicho hakijaiongezea CCM umaarufu kanda hii.

Sipendi viongozi wakitukanana hadharani, lakini thats part of politics, ila hi drastic action sana sana Sugu amejijengea public sympathy na mwishowe yeye ndo anaonekana kaonewa kisiasa.
Hiyo public sympathy inageuzwa kuwa political strength.

Tujifunze.

Mkuu hoja yako naikubali
 
Ndio maneno yenu ya mitandaoni..hata mwanzo mlisema akitiwa ndani patachimbika matokeo yake tukaona karandinga inaondoka na sugu bila hata ffu..na maandamano ya mange mkayakacha..maana tulihisi hasira mtahamishia kwenye maandamano
Pole sana, hivi unajua kazi iliyofanywa na akina mwandosya na wazee wengine kwa kushirikiana na baadhi ya viongozi wa chadema kutuliza like joto? Muulize mkuu wako wa mkoa wa mbeya
 
Lema mwenyewe alifungwa..kama watavunja sheria kisha wataogopwa sijui litakuwa taifa la aina gani..yaani maana yake waachwe watukane watakavyo..si nchi itakuwa kilabu cha pombe za kienyeji
Kwani lema alifungwa?
 
Lema mwenyewe alifungwa..kama watavunja sheria kisha wataogopwa sijui litakuwa taifa la aina gani..yaani maana yake waachwe watukane watakavyo..si nchi itakuwa kilabu cha pombe za kienyeji
Kuna watu humu ndani wanachanga ushabiki was kisiasa na sheria. Hawa akina sugu, lema nk wanadhani siasa ni matusi, swala LA kujiuliza maneno wanayoropoka dhidi ya magufuli yangekuwa kwa wazazi wao wangejisikiaje? Hawa ndio wanawafanya vijana kudhani siasa ni kutmia maneno yasiyo na staha. Ujumbe unaweza kuufikisha hata kwa lugha ya kistarabu. Lugha za matusi kwa magufuli au MTU yeyote yule sidhani kua ndio itambadilisha but itafanya a respond kwa namna akili take inavyomtuma
 
Mimi ni mwana CCM, tena natembelea sana huko Mbeya.

Kwa kusema ukweli, kumfunga Sugu imemuongezea sana umaarufu.
Mbaya zaidi kitendo hicho hakijaiongezea CCM umaarufu kanda hii.

Sipendi viongozi wakitukanana hadharani, lakini thats part of politics, ila hi drastic action sana sana Sugu amejijengea public sympathy na mwishowe yeye ndo anaonekana kaonewa kisiasa.
Hiyo public sympathy inageuzwa kuwa political strength.

Tujifunze.
Wewe sio ccm ndio maana unadhani huyo mkora amepata heshima kwa kwenda jela. Kazi za heshima zinataka watu wanaojiheshimu. Watu wajue mtu mkora hafai kua mbunge. Ni watu wachache sana tu wanaona sawa kumtukana na kumkejeli rais wa jamhuri. Wala Sugu hajafungwa na serikali wala ccm. Amefungwa na sheria.
 
Wewe sio ccm ndio maana unadhani huyo mkora amepata heshima kwa kwenda jela. Kazi za heshima zinataka watu wanaojiheshimu. Watu wajue mtu mkora hafai kua mbunge. Ni watu wachache sana tu wanaona sawa kumtukana na kumkejeli rais wa jamhuri. Wala Sugu hajafungwa na serikali wala ccm. Amefungwa na sheria.
Tukiwa na wana CCM wajinga wajinga na wengi kama ninyi, chama kitapiga magoti.
Mimi natoka Mbeya , ujinga uliofanyika ndo unawainua kina Sugu.
Wazee makini kina Kinana, Mangula mbona wako kimya?
Unafiki siyo dili.

Halafu ujue, utavuna ulichopanda.
 
Utashangaa 2020 mgombea wa CCM akatangazwa mshindi jimbo la Mbeya Mjini kwa 90% [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe sio ccm ndio maana unadhani huyo mkora amepata heshima kwa kwenda jela. Kazi za heshima zinataka watu wanaojiheshimu. Watu wajue mtu mkora hafai kua mbunge. Ni watu wachache sana tu wanaona sawa kumtukana na kumkejeli rais wa jamhuri. Wala Sugu hajafungwa na serikali wala ccm. Amefungwa na sheria.
Mkuu naona umekuwa na mawazo kama yale madubwana yanayoiwa dinasour, mwili mkuubwa, akili hamna.

Kwa Mbeya CCM is on the defensive, haina maendeleo ya kuwaonyesha hata wana CCM wenyewe!

Kaenda Polepole majuzi Mbeya, baada ya kushindwa kumnunua mtu yeyote kaishia kusema Mbeya kuna ukabila!
Niambie hii ndo akili ya kiongozi wa kitaifa anayejiheshimu?

Mwandosya kamuumbua Polepole leo, kiungwana kabisa kampongeza Sugu kutoka jela.
Je , unayafahamu makabila ya wahusika?

Ndo maana kwa Mbeya twasema CCM inajiua yenyewe.
 
Kweli kiongozi mfano jiwe alicho mfanyia Lijuakali alivyo enda Moro.
Hilo liko wazi kabisa!!

Hata baadhi ya wana-CCM hili limewaumiza.

Alafu mbona wapinzani wanatukanwa tu na kudhalilishwa kila siku majukwaani tangu wakati wa kampeni mpaka leo hii?

Na nani kila siku anakejeli wengine?

Nani aliita watoto wa masikini vilaza?

Nani aliita wasaidi wake wapumbavu hadharani?

Tabu sana kwakweli!!
 
Mimi ni mwana CCM, tena natembelea sana huko Mbeya.

Kwa kusema ukweli, kumfunga Sugu imemuongezea sana umaarufu.
Mbaya zaidi kitendo hicho hakijaiongezea CCM umaarufu kanda hii.

Sipendi viongozi wakitukanana hadharani, lakini thats part of politics, ila hi drastic action sana sana Sugu amejijengea public sympathy na mwishowe yeye ndo anaonekana kaonewa kisiasa.
Hiyo public sympathy inageuzwa kuwa political strength.

Tujifunze.
Jidu La Mabambasi, viongozi kutukanana hadharani is part of politics? utakuwa umelogwa na aliyekuloga keshakufa
 
Jidu La Mabambasi, viongozi kutukanana hadharani is part of politics? utakuwa umelogwa na aliyekuloga keshakufa
Mkuu nimekaa Uingereza, kwenye demokrasia haswa!
Nimesikia Margret Thatcher wakati huo akitukanwa kisawasawa na Neil Kinnock kiongozi wa Labour.
Ukitukanwa kisiasa, ukikasirika , imekula kwako.
 
Mimi ni mwana CCM, tena natembelea sana huko Mbeya.

Kwa kusema ukweli, kumfunga Sugu imemuongezea sana umaarufu.
Mbaya zaidi kitendo hicho hakijaiongezea CCM umaarufu kanda hii.

Sipendi viongozi wakitukanana hadharani, lakini thats part of politics, ila hi drastic action sana sana Sugu amejijengea public sympathy na mwishowe yeye ndo anaonekana kaonewa kisiasa.
Hiyo public sympathy inageuzwa kuwa political strength.

Tujifunze.

Ndiyo maana Mzee Mandela, Jomo Kenyatta, Jacob Zuma, Ramaphosa, Obasanjo, Kamuzu Banda, Salva Kiir walikabidhiwa nchi(kuwa Rais) kwa sababu walifungwa jela!
 
Back
Top Bottom