Shabani Masuke
Member
- Dec 13, 2016
- 6
- 1
duuuuuuu....hii kali.
kweli tumeamua kuwekeza kwenye viwanda
duuuuuuu....hii kali.
kweli tumeamua kuwekeza kwenye viwanda
Shirika ninaliofanyia kazi pia tumeanza kitambo kuzitoa. Mwanzoni tulikuwa tunatoa kenya shirika la Huru international. Badae tukahamishia ujuzi kwenye vikundi vya kina Mama wajasiriamali, wanatengeneza na wanauza kwa walengwa. Ni nzuri sana na zinasaidia mno.Ubunifu gani utakaofanyika hapo zaidi ya kuiga tu au kukopi kwa wenzetu hizo pedi za kutumia zaid ya mara moja zipo muda tu.
Umeonaeee...>>>>Naibu waziri amedanganywa akadanganyika....... Hizi taulo zipo kitambo . . Hakuna ubunifu wala nini hapo
Walioshindwa kutengeneza hata pamba ya kuoshea kidonda wataweza hili ?Ubunifu gani utakaofanyika hapo zaidi ya kuiga tu au kukopi kwa wenzetu hizo pedi za kutumia zaid ya mara moja zipo muda tu.
Kwa nn zisiwe na ubora?Yaah wakianza kutengeneza hapa kwetu zitakua hazina ubora lkn hizi kutoka uganda ni original ni nzuri sana.
wanavaaje hapo mkuu?Umewavua nguo hadharani!! Wee kiboko!
Pandagichiza...Kwa nn zisiwe na ubora?
Acha kukariri
Sasa huyo dada jenifer mbona ameibuka mshindi huko ulaya kwa kusema kabuni hizo pedi..nakapewa milion 200/300 km sijasahau mmmh>>>>Naibu waziri amedanganywa akadanganyika....... Hizi taulo zipo kitambo . . Hakuna ubunifu wala nini hapo
Serikali imesema inafanya tafiti mbalimbali ili kubaini na kuona kama kunauwezekano wa kupata taulo za hedhi ambazo zinaweza kutumika zaidi ya mara moja.
Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamis Kigwangalla
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamis Kigwangalla kwenye mahojianio na EATV kuhusu jitihada za serikali za kuhakikisha afya ya watoto wa kike inalindwa na kuepusha utoro mashuleni kutokana na tatizo la hedhi isiyo salama hasa maeneo ya vijijini na wale wasio na uwezo wa kuzipata taulo hizo.
Amesema serikali inahimiza wazazi na walezi wa watoto wa kike wanapoona mabadiliko yametokea kwa mabinti zao wawafundishe namna ya kujitunza kwa kutumia vifaa ambavyo vipo na vinapatikana kwa urahisi sambamba na kuwapa elimu zaidi ili wawe wasafi na kujiepusha na magonjwa ya kuambukizwa.
Jenifer Shigoli
Kwa upande wake mbunifu wa taulo za kike ambazo zinaweza kutumika zaidi ya mara moja Bi. Jennifer Shigoli amesema katika maeneo mbalimbali waliopitia kwa ajili ya kubaini changamoto zinazowakuta watoto wa kike katika kipindi cha hedhi wamebaini ukosefu wa elimu ambayo baadhi ya watu wamepata magonjwa yatokanayo na hedhi isiyo salama hivyo ameiomba serikali kutoa ushirikiano katika kumaliza tatizo hilo nchini.
Tanzania Kuna wahuni mara viroba feel mara dawa vya Kula yaani kitu utapata halali ni kile ch mwanzo.. vinavyoendelea ni kupata Kansa za papucheHaaahaaaa umenifurahisha jamani
Usiamini bidhaa za tzNi suala la muda,tuwape muda wenye mamlaka.