Na lazima umasikini uengezeke tu kwa hi hii.Wote huo ni umaskini tu
Daaaa....ushawaziba midomo viongoz wako..Ubunifu gani utakaofanyika hapo zaidi ya kuiga tu au kukopi kwa wenzetu hizo pedi za kutumia zaid ya mara moja zipo muda tu.
Zile handbag mnabeba huwa zinakuwa na nini? You can keep in the bag, wrap in a plastic bag then things will be fine.Hapo kabla muda na mazingira yaliruhusu maana akina mama shughuli zao zilikuwa za nyumbani zaidi, sasa hivi ni ngumu sana. Upo kazini utaivua then uiweke wapi ukisubiri kuifua? Na kwa muda huo inasubiriwa kufuliwa haitoleta madhara???
In a plastic bag na joto hili, hadi hiyo jioni nifike home hilo begi si litakuwa balaa!!! Na huo muda iko kwahiyo plastic bag hadi ije ifuliwe haitoleta madhara kwa mtumiaji?Zile handbag mnabeba huwa zinakuwa na nini? You can keep in the bag, wrap in a plastic bag then things will be fine.
Kuna washing detergents, so utazitumia. Mbona mama zetu wanahifadhi nepi zenye haja zote za watoto na tunapanda nao magari ya jumuia na hatuhisi harufu mbaya!In a plastic bag na joto hili, hadi hiyo jioni nifike home hilo begi si litakuwa balaa!!! Na huo muda iko kwahiyo plastic bag hadi ije ifuliwe haitoleta madhara kwa mtumiaji?
We ni mwanamke?Kuna washing detergents, so utazitumia. Mbona mama zetu wanahifadhi nepi zenye haja zote za watoto na tunapanda nao magari ya jumuia na hatuhisi harufu mbaya!