DulleShaibu
Member
- Jun 5, 2015
- 98
- 14
Madeni ya walimu kulipwa hayabadili msinamo wa wengi
Kwahiyo walipe wasilipe kura siri zetu
Kwahiyo walipe wasilipe kura siri zetu
Kuanzia wiki ijayo serikali itaanza kulipa madai ya walimu ambayo yanafikia bilion 32.wakuu nauliza hii sio kampeni chafu ya chama cha mapinduzi. Walikuwa wapi siku zote wasiwalipe hadi waje wawalipe wiki ijayo ilhali tayari kuna walimu wengine walishakufa wakiwa njiani kufuatilia madai yao. CCM acheni kampeni za kizamani
Kumlipa mtu haki yake ni rushwa? Kwa hiyo hata wafanyakazi wa serikalini wasilipwe mishahara yao sasa hivi itakuwa rushwa?
Kuanzia wiki ijayo serikali itaanza kulipa madai ya walimu ambayo yanafikia bilion 32.wakuu nauliza hii sio kampeni chafu ya chama cha mapinduzi. Walikuwa wapi siku zote wasiwalipe hadi waje wawalipe wiki ijayo ilhali tayari kuna walimu wengine walishakufa wakiwa njiani kufuatilia madai yao. CCM acheni kampeni za kizamani
mimi kama mwalimu ninaapa kuwakandamiza CCM kwenye kituo nilichoomba kusimamia ewe mwenyezi mungu nisaidie tumechoka sasa
Sorry umetahiriwa?,hamtaki walipwe? mnataka kutumia matatizo ya walimu mtaji wenu? nimbaini MBAYA HALISI WA WALIMU SI CCM.
na kura zetu tuta wapa uchaguzi ujao.
Tukajiongeze je sasa au unamaanisha tukarudie mitihani
PM alisema hadi kufikia agosti deni litakuwa limekwisha hii sasa ni october.
Wamechelewa tar 25 0ct tunaanua matanga baada ya mazishi ya hawa fisiem.Kuna halmashauri kama Kisarawe hii imeoza kuliko yoyote duniani.Hatuna namna R.I.P ccm.Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lizidi kuhimidiwa Amina.kampeni hizooo