Serikali kuanza kulipa madeni ya walimu

Serikali kuanza kulipa madeni ya walimu

mtakubaliana na sisi kina gogo la shamba pale tulipowaambia waalimu wa nchi hii wameshajiweka kwamba,wao ni watu wa kutumiwa tu, na ccm kila kunapokuwa na uchaguzi
 
Ritz mi ananiboa sana kazi kushabikia lichama lililojaa mafisadi tu.au na yeye fisadi huyu mtu
 
Last edited by a moderator:
mi ni mwalimu nipo jimbo la tarime MJINI naidai serikali hela ya likizo,mapunjo ya mshahara na pesa ya masomo na ht mkinilipa kura siwapigii hayo maCCM kura yangu kwa LOWASA.
 
Hivi kura c huwa ya siri......nipewe Leo malimbikizo then baada ya uchaguzi wanikate tena kwa miaka kumi.....No its time for change...!
 
Hapo longo longo tu. wanalipa wachache geresha na kutangaza sana kumbe kuhadaa watz tu. mbinu zenu tunazijua tumechoka.
 
Kama ni kweli wanalipa kipindi hiki its shame! Kumbe uwezo wa kulipa walikuwa nao! Watu wakidai mabadiliko msilalamike
 
Mpunga ni haki ya waalimu kama ilivo haki yao kuikataa ccm kwenye sanduku la kura.
 
Acheni woga,walimu wapewe haki zao.
Mbona huku Moshi tumeshakula sana hela za CCM na kura hatuwapi sembuse hii haki kabisa ya walimu?
Walimu walio wengi ni wanamabadiliko,hawawezi kubadilishwa kwa kupewa haki zao kabisa.
 
Kuanzia wiki ijayo serikali itaanza kulipa madai ya walimu ambayo yanafikia bilion 32.wakuu nauliza hii sio kampeni chafu ya chama cha mapinduzi. Walikuwa wapi siku zote wasiwalipe hadi waje wawalipe wiki ijayo ilhali tayari kuna walimu wengine walishakufa wakiwa njiani kufuatilia madai yao. CCM acheni kampeni za kizamani

Ndo safi waache wawalipe halafu kura hatutoi na itakuwa bye bye ccm tena tunaachana pasi na madeni kila mtu anashika 50 zake.Tunayasubir hayo mahela yetu
 
Suala la walimu kulipwa ni haki yao,kulipwa kipindi gn sio ishu,kikubwa ni kulipwa na udanganyifu ni mwingi kwenye haya malipo hivyo serikali ilikuwa lazima ifanye uhakiki ijiridhishe na madai hayo
Suala la kupigia kura ccm au kutoipigia si suala la msingi kwsbb walimu wanajitambua,wanaweza kuipigia na pia wanaweza wasiipigie na hata wasipoipigia wapo wengine wataipigia,afterall idadi ya walimu ni wangapi ukilinganisha na watz wote nchini
 
Walete mpunga huo na kura zetu hawapati..

Lakini na nyie mkajiongeze.Wengi wenu hamkufanya vizurı mkiwa shule na baadhi wengne mna vyeti feki.System mbovu ya CCM imewabeba,mnachangıa sana kudunisha elimu ya Tanzania kwani wengi (sio wote)hamna uwezo wa kutosha kiakili kuwa walimu.
 
Lakini na nyie mkajiongeze.Wengi wenu hamkufanya vizurı mkiwa shule na baadhi wengne mna vyeti feki.System mbovu ya CCM imewabeba,mnachangıa sana kudunisha elimu ya Tanzania kwani wengi (sio wote)hamna uwezo wa kutosha kiakili kuwa walimu.

Tukajiongeze je sasa au unamaanisha tukarudie mitihani
 
Mimi ni miongoni mwa walimu tunaodai, hata wanilipe milioni mia 7, cwapi kura CCM.
 
nawaambia haya madai yatawacost CCM
endeleeni kucheza na mind za walimu tu alafu mtegemee Oct 25 wasimamie uchaguzi hao hao wanaowadai
the good thing staff yangu tupo 78 na almost wote tunadai kiasi had I Mkuu nae amebadili mwelekeo
nyie chezeni na akili za watu but msije lia October
 
Tulisha amua.Wacha watupe haki yetu na uamuzi ni ule ule.

Si ajabu wengine humu hata vyeti vya ualimu hamna ila mko hapa mnajiita waalimu, leo mmejigeuza waalimu wakati siku zingine huwa mnakuja hapa mkiwaponda hao hao waalimu ..wazandiki wakubwa nyie
 
Mimi Madai Yangu Ni Ya Tangu 2011 Hadi Sasa Sijalipwa, Lakini Uchunguzi Nilioufanya Tatizo Sio Hazina, Tatizo Ni MAAFISA UTUMISHI HASA HASA WALE WALIOKO FELI MAKAO MAKUU.KAMA UNABISHA WE BISHA, Lakini Jaribu Kufuatilia Kwa Umakini. Utamjua Mbaya Wako. Kama We Unaishia Kwa Afsa Utumishi Wa Halmashauri Yako Utasubiri Sana, HAZINA HAWAWEZI KUKULIPA KAMA FORM ZAKO HAZIJAPELEKWA HAZINA NA MAAFISA UTUMISHI HAPO MAKAO MAKUU,
 
Back
Top Bottom