kuanzia wiki ijayo serikali itaanza kulipa madai ya walimu ambayo yanafikia bilion 32.wakuu nauliza hii sio kampeni chafu ya chama cha mapinduzi. Walikuwa wapi siku zote wasiwalipe hadi waje wawalipe wiki ijayo ilhali tayari kuna walimu wengine walishakufa wakiwa njiani kufuatilia madai yao. Ccm acheni kampeni za kizamani
Kuanzia wiki ijayo serikali itaanza kulipa madai ya walimu ambayo yanafikia bilion 32.wakuu nauliza hii sio kampeni chafu ya chama cha mapinduzi. Walikuwa wapi siku zote wasiwalipe hadi waje wawalipe wiki ijayo ilhali tayari kuna walimu wengine walishakufa wakiwa njiani kufuatilia madai yao. CCM acheni kampeni za kizamani
Aisee mbona mnaongea sana kama vile mna wivu? Kama wewe sio mwalimu kaa kimya maana matatizo yetu hayawahusu. Sisi tunaelewa tunachokifanya, acheni serikalo itulipe madeni yetu.
Hapa kazi tu
mtakubaliana na sisi kina gogo la shamba pale tulipowaambia waalimu wa nchi hii wameshajiweka kwamba,wao ni watu wa kutumiwa tu, na ccm kila kunapokuwa na uchaguzi