Potea wa potea
Senior Member
- Oct 9, 2013
- 117
- 28
Acha walipa
tatizo ni nini, kura ni siri
Mkiendelea kusema hivyo tutasitisha malipo, msitutanie. Hatufanyi mambo kwa kubahatisha, ohooooo!!!
kwenye uteuzi wa wakuu wa wilaya hivi majuzi some of them wametokea chama cha walimu, lengo ilikua kuwashika akili wale wajuu, wafanye wanavyoweza wawatulize walimu ili kuokoa chama!
Kuanzia wiki ijayo serikali itaanza kulipa madai ya walimu ambayo yanafikia bilion 32.wakuu nauliza hii sio kampeni chafu ya chama cha mapinduzi. Walikuwa wapi siku zote wasiwalipe hadi waje wawalipe wiki ijayo ilhali tayari kuna walimu wengine walishakufa wakiwa njiani kufuatilia madai yao. CCM acheni kampeni za kizamani
Kuanzia wiki ijayo serikali itaanza kulipa madai ya walimu ambayo yanafikia bilion 32.wakuu nauliza hii sio kampeni chafu ya chama cha mapinduzi. Walikuwa wapi siku zote wasiwalipe hadi waje wawalipe wiki ijayo ilhali tayari kuna walimu wengine walishakufa wakiwa njiani kufuatilia madai yao. CCM acheni kampeni za kizamani
we google uone uone organization chart ya chama cha walimu tafuta na majina ya walioteuliwa ukuu wa wilaya utajionea mwenyewe kama ni coincidence au coordinationmmmh! kwelii?