Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Kuna watu wana mawazo ya ajabu sana.. Usishangae gawa wanakuja kuwa na post kubwa serikalini
Watu wenyewe wa Dar ya tangu enzi za Shomvi anatoka Barawa, tangu enzi za Sayyidina Said Majid, tangu enzi za Dr. Seward na Pazi Mazungera, tangu enzi za Jumbe Tambaza huwezi kutusikia tunaongea maneno mbofumbofu.
Ni hawa wa kuja juzi na mbio za Mwenge hata ukiwauliza Odeon iko wapi, City Drive imeanzia wapi na kuishia wapi na kwa nini imebadilishwa jina? Kitchwele ni wapi? Mwembetogwa pako wapi? Mchafukoge inaanzia wapi na kuishia wapi?
Mtu hajui Aga Khan kauziwa na nani uwanja wa kujenga shule, au kwa nini Salender Bridge linaitwa Salender Bridge.
Mtu hajui Tangi Bovu liko wapi, na kwa nini kwa Sykes kunaitwa kwa Sykes.
Hamjui Mwanamboka alianzia wapi, Mengi alijaza wino kwenye peni nyumbani kwake wapi, wala kiosk cha kwanza cha Bakhressa kilikuwa wapi.
Mtu hajui Saigoni iko wapi, na chapati kwa mchuzi inaliwaje.
Hamjui Sykes wala Mwinyijuma, Chamgui wala Rupia.
Hana historia ya familia Misheni kota wala Gerezani.
Watoto hawajui hata historia ya Jumbe Tambaza alivyomtilia ngumu Carl Peters kuuza vijiji vya Mzi Mzima kwa rupia 15 kila kijiji.
Leo wanataka kukuambia Dar es salaam kwao wanakataza wengine wasije.
By Tambaza na mimi nikirudi naweza kuitwa mgeni wakati babu wa Bibi yangu kajenga Azania Front mpaka kulimaliza 1903 !
Sasa kama.wenye mji wenyewe hatuwezi kukataza wagenu, mshihiri gani wa kutoka wapu anaweza kujipakazia yeye Dar ndio kwao?
Wakazi wote wa Dar tupewe vitambulisho special.., hakuna kuingia Dar kama huna hicho kitambulisho.., unless uwe umepata kazi huku au unamwaliko maalumu kutoka kwa mwana Dar.., na hiyo shughuli iliyokuleta ikiisha unarudi ulikotoka.., TUMEJAAA...!!
watu wana fleet za masemi trailer itakua landcruiser?.Unaogopa watakuibia power window za lile landcruiser mpya uliyonunua juzi!!
bora iwe hivyo mkuu hawa watu wa bara wamekuwa wengi mno au wawe wanaingia kwa passport na visa
mwambie coz mtanzania ana haki ya kuishi mkoa wowote anaoupenda bila kubaguliwa,alafu huenda hao unaoona wakuja ndio wanaoufanya mji uendelee kukuaWewe una mkoa?
Mwenzio amewaza kwa kichwa sio makalio kama wewe! pambaf!
Kuna watu wana mawazo ya ajabu sana.. Usishangae gawa wanakuja kuwa na post kubwa serikalini
tHATS MEukistaajabu ya Musa utaona ya huyo mchezaji, hata kama umeframe stori lakini imenifurahisha sana