Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,493
- 12,453
Nafikiri wakati umefika sasa kwa Serikali ianze kuzuia watu kutoka Mikoani kuja Dar, tumetosha sasa! ikiwezekana Waruhusiwe wale tu ambao wamepata kazi au walioitwa kwenye usahili... Hali inatisha sana ukienda Ubungo Mabasi yanakuja yamejaa na yanaondoka tupu, kwa nini hamkai huko Mikoani mbona mnatutambia kuna kuna Hali ya Hewa nzuri, sasa ni nini kinawaleta Dar?
Halafu dar yenyewe unakaa kwa shemeji alipo olewa dada yako chumba na sebule,una lala sebuleni wa mwisho kulala wa kwanza kuamka teh teh teh.