The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,060
Ukiisoma katiba ya Tanzania kuna guaranteed freedom of movement kwa Watanzania.
Huwezi kukataza watu kuja Dar, Tanzania hatuna udikteta kama China.
Anzishwni mashamba makubwa nje ya Dar muwape watu kazi, watakuwa wapo karibu na Dar na pia wana kazi.
Vinginevyo wapelekeeni huduma muhimu huko vijijini.
Sio mnawanyima huduma.muhimu vijijijini, wakizifuata mjini mnawasimanga.
Kama wenyewe ambao Dar ni kwetu kabla Azania Front haijajengwa tungetaka kuendekeza kukataza watu kuja Dar Nyerere asingejua kuvaa suruali.
Watu tuna pedigree Dar kabla Misheni kota haijajengwa, tangu Wanyamwezi hawajaenda kulima viazi kinyasini, tangu kabla Shomvi hajatupa Mzizima.
Na huwezi kusikia tunakataza watu kuja mjini, sanasana tutatafuta viunga vingine tu.
That was just a mumbo jumbo! Dar yenyewe anaijua?