covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 4,876
- 10,590
Ni wazi kabisa tena bila upinzani hii sector pendwa sana wananchi wa Tanzania ipo haja ya serikali sasa kuwa serious na hii sekta na kuitazama kwa macho mawili.
Ni sector inayoweza kuingiza trillion za pesa kwa serikali kama tutadhamiria kweli. Uwejezaji mkubwa kwenye michezo kama ya mpira wa miguu italeta tija na ajira nyingi sana pia ni fursa kujitangaza kiutalii.
Uwekezaji kwenye sanaa hasa muziki na filamu pia utaleta tija na kutoa ajira nyingi kwa vijana pia serikali itapata mapato mengi sana.
Natamani kuanzishwe "art and sports authority" ijikite kwenye kuhakikisha hatimiliki na mapato ya watanzania wengi wenye vipaji na talanta mbalimbali havipotei.
Ila pia ijikite kwenye uwekezaji kwa kusaidia kutafuta wawekezaji wa kimataifa wanaohitajika kwa wingi sana kwenye hii sector.
Tofauti na sasa wawekezaji wa ndani (azam kwenye mpira na wcb kwenye music) ndio wanaibeba hii sector kwa kiwango kikubwa sasa serikali iendeleze kwa kuwashika mkono kutafuta wawekezaji wa nje pia.
Ni sector inayoweza kuingiza trillion za pesa kwa serikali kama tutadhamiria kweli. Uwejezaji mkubwa kwenye michezo kama ya mpira wa miguu italeta tija na ajira nyingi sana pia ni fursa kujitangaza kiutalii.
Uwekezaji kwenye sanaa hasa muziki na filamu pia utaleta tija na kutoa ajira nyingi kwa vijana pia serikali itapata mapato mengi sana.
Natamani kuanzishwe "art and sports authority" ijikite kwenye kuhakikisha hatimiliki na mapato ya watanzania wengi wenye vipaji na talanta mbalimbali havipotei.
Ila pia ijikite kwenye uwekezaji kwa kusaidia kutafuta wawekezaji wa kimataifa wanaohitajika kwa wingi sana kwenye hii sector.
Tofauti na sasa wawekezaji wa ndani (azam kwenye mpira na wcb kwenye music) ndio wanaibeba hii sector kwa kiwango kikubwa sasa serikali iendeleze kwa kuwashika mkono kutafuta wawekezaji wa nje pia.