Nachukua nafasi hii kuwapongeza Wizara ya utamaduni ,Sanaa na michezo Kwa yafuatayo..
Niko mbali Sana vijijini Ila nimejionea mechi ya Jana,set-up, arrangement. Pre -match performance, imekuwa amazing sana 🙏.
Uteuzi wenu kwenye hii wizara tulijua mtaleta mabadiliko ya kisasa. Kongole nyingi sana.
Naomba sana hii serikali ihakikishe mnakuwa madarakani hadi Afcon kuanzia maandalizi mtaiweka nchi kwenye ramani. Sisi mashabiki wa siasa alichokifanya Mama Samiah kuwateua, hakukosea.
Congratulations and Keep it up 🙏🙏🙏
- Waziri Ndumbaro
- Naibu Waziri Mwinjuma
- Katibu Gmsigwa
Niko mbali Sana vijijini Ila nimejionea mechi ya Jana,set-up, arrangement. Pre -match performance, imekuwa amazing sana 🙏.
Uteuzi wenu kwenye hii wizara tulijua mtaleta mabadiliko ya kisasa. Kongole nyingi sana.
Naomba sana hii serikali ihakikishe mnakuwa madarakani hadi Afcon kuanzia maandalizi mtaiweka nchi kwenye ramani. Sisi mashabiki wa siasa alichokifanya Mama Samiah kuwateua, hakukosea.
Congratulations and Keep it up 🙏🙏🙏