Serikali itunge sheria; iwe lazima mmiliki wa nyumba au kiwanja kupanda miti isiyopungua minne

Appollo 11

JF-Expert Member
Apr 15, 2016
205
520
Nawasalimu wana Jamvi.

Mi sina mengi, lakin kutokana na mabadailiko ya kimazingira naona ni muhimu kwa serikali kuja na sheria pamoja na sera itakayo tamka kuwa kutokupambana miti ni kosa la jinai na mmiliki wa nyumba au eneo atapaswa kuwajibika.

Kwa mfano kwa kwa kila nyumba au kiwanja kukipandwa miti minne, na sehem kama Dar es salaam lenye wakazi milioni 6, Jaalia iwe na makazi au viwanja laki 5 na kila mmiliki apande miti minne (japo kuna watakao panda zaid) tutakua tumepanda miti milioni 2. Je tukifanya nchi nzima?

Hii itasaidia sana katika kuregulate hali ya hewa na kupunguza joto pamoja na athari mbaya za kimazingira.

Pili itaamsha ari ya uwajibika na ushiriki wa kila mtanzania katika kutunza mazingira.

NB: Sheria itamke wazi kuwa kutokupambanda miti kuanzia minne katika eneo la makazi au kuwa, ni kosa kisheria.

Naomba kuwasilisha.
 
naunga mkono, na hivi idadi ya watu inavyoongezeka miti pia itaongezeka na afya za watu zitaimarika kwa kuwa miongoni mwa miti hiyo itakuwa ya matunda
 
Naunga mkono hoja , lakini kwa angalizo la ukubwa wa kiwanja, pili aina ya miti ambayo itakidhi hilo jambo linalo kusudiwa kama ni matunda, kivuli, kuboresha ardhi na kadhalika
 
Nawasalimu wana Jamvi.

Mi sina mengi, lakin kutokana na mabadailiko ya kimazingira naona ni muhimu kwa serikali kuja na sheria pamoja na sera itakayo tamka kuwa kutokupambana miti ni kosa la jinai na mmiliki wa nyumba au eneo atapaswa kuwajibika

Kwa mfano kwa kwa kila nyumba au kiwanja kukipandwa miti minne, na sehem kama Dar es salaam lenye wakazi milioni 6, Jaalia iwe na makazi au viwanja laki 5 na kila mmiliki apande miti minne (japo kuna watakao panda zaid) tutakua tumepanda miti milioni 2. Je tukifanya nchi nzima?


hii itasaidia sana katika kuregulate hali ya hewa na kupunguza joto pamoja na athari mbaya za kimazingira.

Pili itaamsha ari ya uwajibika na ushiriki wa kila mtanzania katika kutunza mazingira.

NB: Sheria itamke wazi kuwa kutokupambanda miti kuanzia minne katika eneo la makazi au kuwa, ni kosa kisheria.

Naomba kuwasilisha.
Kuna watu wana nyumba haina hata space ya kupaki gari sasa sijui miti wataipanda wapi? Kosa limefanyika kwenye kuacha watu wajenge makazi kiholela huku lukuvi anazurura kugawa mashamba ya watu.
 
Kuna watu wana nyumba haina hata space ya kupaki gari sasa sijui miti wataipanda wapi? Kosa limefanyika kwenye kuacha watu wajenge makazi kiholela huku lukuvi anazurura kugawa mashamba ya watu.
Tukianza tunaweza, mti hauhitaji eneo kubwa sana
 
Nawasalimu wana Jamvi.

Mi sina mengi, lakin kutokana na mabadailiko ya kimazingira naona ni muhimu kwa serikali kuja na sheria pamoja na sera itakayo tamka kuwa kutokupambana miti ni kosa la jinai na mmiliki wa nyumba au eneo atapaswa kuwajibika

Kwa mfano kwa kwa kila nyumba au kiwanja kukipandwa miti minne, na sehem kama Dar es salaam lenye wakazi milioni 6, Jaalia iwe na makazi au viwanja laki 5 na kila mmiliki apande miti minne (japo kuna watakao panda zaid) tutakua tumepanda miti milioni 2. Je tukifanya nchi nzima?


hii itasaidia sana katika kuregulate hali ya hewa na kupunguza joto pamoja na athari mbaya za kimazingira.

Pili itaamsha ari ya uwajibika na ushiriki wa kila mtanzania katika kutunza mazingira.

NB: Sheria itamke wazi kuwa kutokupambanda miti kuanzia minne katika eneo la makazi au kuwa, ni kosa kisheria.

Naomba kuwasilisha.
Kwa hiyo ukipanda miti utapunguza joto?
 
Ni wazo zuri. Nakumbuka Wakati wa Mzee Makamba akiwa RC, Dar ilipandwa miti mingi Sana....
 
Ndio,.. inapunguza effect za Global warming
Una wazo zuri sana sana. Linaweza kuwa mojawapo ya wazo bora hapa JF tangu mwaka uanze. Lakini sisi waafrika mambo kama haya tunadharau. I wish kiongozi yeyote w serikali angepitia hapa na alipigie debe hili wazo lifanikiwe.
 
Ni wazo zuri. Nakumbuka Wakati wa Mzee Makamba akiwa RC, Dar ilipandwa miti mingi Sana....
Makamba alifanya kazi nzuri sana hata Morogoro, lakini cha kushangaza baadaye miti mingi ilikatwa ati kwa kisingizio inafuga kunguru za zbr
 
Chini pakichafuka utakuwa unafagia wewe!? Iambieni serikali ihalalishe ulimaji wa Bangi vijana turudi mashambani.
 
wazo zuri, plan yangu kupanda sita pale kwa eneo langu, kajoto ka dar katapungua kidogo ikikua vzr
 
Nawasalimu wana Jamvi.

Mi sina mengi, lakin kutokana na mabadailiko ya kimazingira naona ni muhimu kwa serikali kuja na sheria pamoja na sera itakayo tamka kuwa kutokupambana miti ni kosa la jinai na mmiliki wa nyumba au eneo atapaswa kuwajibika.

Kwa mfano kwa kwa kila nyumba au kiwanja kukipandwa miti minne, na sehem kama Dar es salaam lenye wakazi milioni 6, Jaalia iwe na makazi au viwanja laki 5 na kila mmiliki apande miti minne (japo kuna watakao panda zaid) tutakua tumepanda miti milioni 2. Je tukifanya nchi nzima?

Hii itasaidia sana katika kuregulate hali ya hewa na kupunguza joto pamoja na athari mbaya za kimazingira.

Pili itaamsha ari ya uwajibika na ushiriki wa kila mtanzania katika kutunza mazingira.

NB: Sheria itamke wazi kuwa kutokupambanda miti kuanzia minne katika eneo la makazi au kuwa, ni kosa kisheria.

Naomba kuwasilisha.
Hiki kipengele kipo tayari kwenye sheria,
Hati za viwanja zinaelezea vzr sana
 
Nawasalimu wana Jamvi.

Mi sina mengi, lakin kutokana na mabadailiko ya kimazingira naona ni muhimu kwa serikali kuja na sheria pamoja na sera itakayo tamka kuwa kutokupambana miti ni kosa la jinai na mmiliki wa nyumba au eneo atapaswa kuwajibika.

Kwa mfano kwa kwa kila nyumba au kiwanja kukipandwa miti minne, na sehem kama Dar es salaam lenye wakazi milioni 6, Jaalia iwe na makazi au viwanja laki 5 na kila mmiliki apande miti minne (japo kuna watakao panda zaid) tutakua tumepanda miti milioni 2. Je tukifanya nchi nzima?

Hii itasaidia sana katika kuregulate hali ya hewa na kupunguza joto pamoja na athari mbaya za kimazingira.

Pili itaamsha ari ya uwajibika na ushiriki wa kila mtanzania katika kutunza mazingira.

NB: Sheria itamke wazi kuwa kutokupambanda miti kuanzia minne katika eneo la makazi au kuwa, ni kosa kisheria.

Naomba kuwasilisha.
Hii ipo haitekelezwi tu, ukipewa offer ya kiwanja unaandikiwa idadi ya miti ya kupanda, ila Watanzania sasa!!
 
Nawasalimu wana Jamvi.

Mi sina mengi, lakin kutokana na mabadailiko ya kimazingira naona ni muhimu kwa serikali kuja na sheria pamoja na sera itakayo tamka kuwa kutokupambana miti ni kosa la jinai na mmiliki wa nyumba au eneo atapaswa kuwajibika.

Kwa mfano kwa kwa kila nyumba au kiwanja kukipandwa miti minne, na sehem kama Dar es salaam lenye wakazi milioni 6, Jaalia iwe na makazi au viwanja laki 5 na kila mmiliki apande miti minne (japo kuna watakao panda zaid) tutakua tumepanda miti milioni 2. Je tukifanya nchi nzima?

Hii itasaidia sana katika kuregulate hali ya hewa na kupunguza joto pamoja na athari mbaya za kimazingira.

Pili itaamsha ari ya uwajibika na ushiriki wa kila mtanzania katika kutunza mazingira.

NB: Sheria itamke wazi kuwa kutokupambanda miti kuanzia minne katika eneo la makazi au kuwa, ni kosa kisheria.

Naomba kuwasilisha.
Naunga mkono hoja

Hii ndio sera ya pale Moshi
 
Kabla ya hiyo sheria hapa kwangu tayari ninayo zaidi ya kumi mikubwa sana...
 
Back
Top Bottom