Kwa Sasa tamisemi Wana call center ya kupokea malalamiko toka kwa watumishi...Tatizo ni maofisa utumishi, tsc na afisa elimu wake. Hii mijitu haipendi kuona mtu kawazidi kielimu. Wanachofanya ni kumfrastrate hadi aache kazi. Huyo ni mfano mmoja tu. Halimashauri zetu zimejaa mashetani yaani tena shetani ana unafuu anaweza kukuacha upumue. Hawa wamekuwa miiba tena mbigili kwenye haki za watumishi. Serikali iweke mfumo rasmi wa watumishi kupeleka malalamiko yao I'll kuondoa huu ukiritimba wa kuwategemea hawa viwavi,!!!
Upo sahihi . Mimi ni mdau wa elimu na mzoefu wa masuala ya elimu kuanzia ufundishaji darasani, utawala wa elimu na masuala ya upandaji wa madaraja kwa walimu.Malisa acha uongo haiwezekani mwalimu ana miaka zaidi ya miaka kumi na tano akalipwa mshahara ule ule alioajiliwa nao...
😆😆😆Halafu Silinde ndiyo anatakiwa atoe ufumbuzi wa tatizo
Kwa kiasi Fulani uko sahihi, tatizo pia linguine la walimu ni kutojua haki zao, huenda mwalimu kajiendeleza hata taarifa zake hajaziwasilisha wilayani kwa mfano vyeti na barua kuomba kubadilishiwa muundo....changamoto kubwa za watumishi wengi kutojua haki zaoUpo sahihi . Mimi ni mdau wa elimu na mzoefu wa masuala ya elimu kuanzia ufundishaji darasani, utawala wa elimu na masuala ya upandaji wa madaraja kwa walimu....
Kama ana tatizo la maadili kwanini asichukuliwe hatua badala ya kumuacha aendelee kuharibu hapo alipo ? halafu hata kama ni unyama wa kumkomoa, mtu mwenye elimu ya kiwango chake ni sawa kweli kufundisha shule ya msingi ?Upo sahihi . Mimi ni mdau wa elimu na mzoefu wa masuala ya elimu kuanzia ufundishaji darasani, utawala wa elimu na masuala ya upandaji wa madaraja kwa walimu...
kizazi kipi kipi chenye udhubutu huo? labda kije kizazi kingine. si hiki cha wanafki waogaHata maandamano ya nguvu, yasiyoisha
Huko Ujerumani kuna maslahi .na walimu wanathaminiwa sio kama hapa.
Ndio maana akifundisha chekechea huko na kulipwa vizuri hana muda wa kuhangaika kutafuta maslahi.
Km utakuwa umenielewa vizuri, maadili ni kipengele kidogo kati ya factors nilizoainisha. Si suala la kulamba miguu ya bosi wake ili apate haki yake, la hasha.Kama ana tatizo la maadili kwanini asichukuliwe hatua badala ya kumuacha aendelee kuharibu hapo alipo ? halafu hata kama ni unyama wa kumkomoa , mtu mwenye elimu ya kiwango chake ni sawa kweli kufundisha shule ya msingi ?...
Malisa amekurupuka secta ya elimu ina changamoto ila changamoto nyingine ni historia yani hazipo tena.Upo sahihi . Mimi ni mdau wa elimu na mzoefu wa masuala ya elimu kuanzia ufundishaji darasani, utawala wa elimu na masuala ya upandaji wa madaraja kwa walimu...
Dhana ya maadili ni pana sana nakupa mfano mdogo tu pengine unakosa nidhamu ya siri yani wewe mlopokaji sasa hapa utachukuliwa hatua gani yani hujui kukaa na siri wewe kila jambo unalopoka tu watu wakikupima wanaona katika uongozi utoshi kwani kuna vitu vya usiriKama ana tatizo la maadili kwanini asichukuliwe hatua badala ya kumuacha aendelee kuharibu hapo alipo ? halafu hata kama ni unyama wa kumkomoa , mtu mwenye elimu ya kiwango chake ni sawa kweli kufundisha shule ya msingi?..
Malisa acha uongo haiwezekani mwalimu ana miaka zaidi ya miaka kumi na tano akalipwa mshahara ule ule alioajiliwa nao...
Wana elimu kubwa kwenye gani,kwakukusaidia tu ni kwamba sio km ya huyu,mfumo wao na kwetu ni tofaut,specialization ni primary hadi Phd sis kwetu haiko hivi!Kwa kuongeza ujeruman ni moja ya nchi inayolipa walim vzr kuliko mtumishi yeyoyeBinafsi nimeumia sana kwasababu ya kutopanda daraja kutokana na elimu yake lakini kuhusu nafasi yake katika kazi sijaona ubaya.
Labda nikupe mfano “ Nina mdogo wangu yupo ujerumani alipata chance kipindi cha Corona kutibu wagonjwa katika nchi ya ujerumani, yeye kajiongeze na kuendelea kujiendeleza kimasomo. Nikiwa nawasiliana nae ananiambia walimu wa awali katika nchi ya hiyo ni watu wenye elimu kubwa tu na tofauti na hapa Tanzania “
Binafsi natamani walimu wa awali wawe na elimu ya juu ili kuwapa knowledge kubwa vijana wetu.
Wana elimu kubwa kwenye gani,kwakukusaidia tu ni kwamba sio km ya huyu,mfumo wao na kwetu ni tofaut,specialization ni primary hadi Phd sis kwetu haiko hivi!Kwa kuongeza ujeruman ni moja ya nchi inayolipa walim vzr kuliko mtumishi yeyoye
Itabd tu aombewe afe though co ktu kzuri😂😂😂Dikteta anatolewa kwa natural death au kwa mtutu wa bunduki.
Kwa elimu yake hiyo akikutana uso kwa uso na Wabunge kama Josefu Kasheku Msukuma, Deo Sanga, Livingstone Lusinde, na wafuasi lukuki wa ccm, hawana budi kumuamkia kwa kumshika kichwa Mh. Mwalimu.Yaani ana Elimu kubwa kuliko Silinde!
Wewe utakuwa ni Afisa Elimu bila shaka!! Au ni Mtumishi wa Tamisemi!! Siyo kwa ufafanuzi huu uliokwenda shule.Malisa acha uongo haiwezekani mwalimu ana miaka zaidi ya miaka kumi na tano akalipwa mshahara ule ule alioajiliwa nao
Watu ambao wanalipwa mishahara ilel ile kwa walimu ni kundi la ajira mwaka 2014 chini ya hapo hakuna hiyo moja
Pili serialini hakuna mshahara wa masters kuna mshahara wa degree hizo masters ni weredi upatapa maslahi yake endapo utapata position yenye posho ya ukuu wa hicho kitengo mfano masters yake nk inauwezo wakumpa nafasi ya uafisa elimu,
USHAURI
Kama ana phd na bado yupo darasani mwambie andike barua kwa katibu mkuu wizara ya elimu akijielezea wasifu wake na aombe nafasi anayoona anastahili kwa kusema anatuma maombi yake ikiwa nafasi itatokea basi yeye yupo
DOUBT
Uyo mwalimu achunguzwe atakuwa ana sifa ya elimu ila sifa ya kimaadili kama mtumishi wa umma anayestahili kupewa promition hana yani watu wa veting wakimpitia wanaona kasoro
ndio maana anasoma akimini kusoma kutamsaidia hawazi madili ya utumishi wa umma je anafaa
Kwa sababu kita halmashauri kila mwaka huwa zinachukua tarifa za watumishi kuhusu elimu nk tarifa hizo hzikai halmashauri tu zinaenda mpaka utumishi kwaiyo kwa elimu yake na mda aliokaa kazini lazima wangemuona wangeuliza uyu mtu tunamuitaji so mwambieni ajichunguze atakuwa na tatizo tusishie kulaaumu tu
Hapana miye ni mdau wa masuala mtambuka kwaiyo natoa tu ufafanuzi unaoelewekaWewe utakuwa ni Afisa Elimu bila shaka!! Au ni Mtumishi wa Tamisemi!! Siyo kwa ufafanuzi huu uliokwenda shule.