Man Mvua
JF-Expert Member
- Apr 12, 2016
- 2,179
- 3,522
Hilo halina shida ila walipwe kwa mwezi 6M kama wakurugenzi.Binafsi nimeumia sana kwasababu ya kutopanda daraja kutokana na elimu yake lakini kuhusu nafasi yake katika kazi sijaona ubaya....
Hilo halina shida ila walipwe kwa mwezi 6M kama wakurugenzi.Binafsi nimeumia sana kwasababu ya kutopanda daraja kutokana na elimu yake lakini kuhusu nafasi yake katika kazi sijaona ubaya....
Hv unafikiri Mwalimu anayetakiwa afundishe wanafunzi wa shule za msingi ni mwalimu ambaye hajasoma?Baada ya kuelezea 'scenario' ya jana rafiki yangu mmoja amenitafuta. Ni rafiki yangu wa muda mrefu, lakini sikuwahi kujua sana kuhusu upande wa pili wa maisha yake.....
Ndivyo inavyotakiwa.Binafsi nimeumia sana kwasababu ya kutopanda daraja kutokana na elimu yake lakini kuhusu nafasi yake katika kazi sijaona ubaya...
Its ok lakini put yourself in position ya huyu mwalimu, Je, kwa elimu yake anastahili mshahara wa mwalimu wa grade III? Je, anastahili kufundisha primary?
Bora wangempandisha daraja kwa matumaini kwamba mshahara utapanda lakini hakuna hata kimoja walichomfanyia
Ndivyo inavyotakiwa
Sasa malisa anadanganya watu eti anatakiwa awe ofisi fulani
Hilo halina shida ila walipwe kwa mwezi 6M kama wakurugenzi.
Hii habari sina uhakika kama ni ya kweli,mwalm ukijiendeleza kulingana na ngazi yako ya elimu unabadilishiwa muundo na yeye kama hajafanyiwa hivyo amechukua jukumu gani?, haiwezekani mwalm aliemaliza zaidi ya miaka 10 alafu asijue anafanya nini lakini pia elimu yake ni kubwa hiyo kulingana na hapo alipo.
Leo hii sera ya elimu inasema mwalm mkuu anatakiwa kuanzia stashahada but yeye na masters asipewe hata ualim mkuu? Hapana kama hii haabari ni ya kweli huyo mwlm ana shida achunguzwe.
Sasa kwanini hakufuatilia kubadilishiwa muundo kama sheria inavyosema? Kwanini akubali kuumuzwa namna hiyo hajui namna ya kushughulikia maslahi yake?Hapana!!! Wapo wengi wenye elimu kubwa na hawana ukuu katika shule hii kutokana nafasi hii watu wanaopendekeza ni afisa elimu wa sehemu husika so yaweza kuwa wapo wengi wenye elimu kama yake!! Nadhani kikubwa ni yeye kutopanda ngazi ya mshahara kutokana na elimu yake?...
Halafu Silinde ndiyo anatakiwa atoe ufumbuzi wa tatizoYaani ana Elimu kubwa kuliko Silinde !
Hii issue Kama ni kweli ni bonge la kashfa, muundo ni haki ya mtumishi anapojiendeleza kielimu....Hapana!!! Wapo wengi wenye elimu kubwa na hawana ukuu katika shule hii kutokana nafasi hii watu wanaopendekeza ni afisa elimu wa sehemu husika so yaweza kuwa wapo wengi wenye elimu kama yake!! Nadhani kikubwa ni yeye kutopanda ngazi ya mshahara kutokana na elimu yake?...
Sasa kwanini hakufuatilia kubadilishiwa muundo kama sheria inavyosema? Kwanini akubali kuumuzwa namna hiyo hajui namna ya kushughulikia maslahi yake?
Ina maana ameshindwa hata kupeleka malalamiko yake kwa DED wake acha afisa elimu wake?Sasa kwanini hakufuatilia kubadilishiwa muundo kama sheria inavyosema? Kwanini akubali kuumuzwa namna hiyo hajui namna ya kushughulikia maslahi yake?
Hii issue Kama ni kweli ni bonge la kashfa, muundo ni haki ya mtumishi anapojiendeleza kielimu....
Ina maana ameshindwa hata kupeleka malalamiko yake kwa DED wake acha afisa elimu wake?
Mwalimu ana Masters lakini kudai haki zake za ni shida duh....walimuuu......Hii ni sawa!!
Tatizo ni maofisa utumishi, tsc na afisa elimu wake. Hii mijitu haipendi kuona mtu kawazidi kielimu. Wanachofanya ni kumfrastrate hadi aache kazi. Huyo ni mfano mmoja tu.Baada ya kuelezea 'scenario' ya jana rafiki yangu mmoja amenitafuta. Ni rafiki yangu wa muda mrefu, lakini sikuwahi kujua sana kuhusu upande wa pili wa maisha yake....