Serikali imeungana na Dunia ya Kwanza kuwakandamiza Masikini. Acha wakandamizwe tu

Ni kati ya watu wachache Tanzania wenye akili timamu. Nchi zote Ulaya zilitumia ukatili mkubwa kupata maendeleo, utumwa, ukoloni hadi sasa ukoloni mamboleo.

Kwa zaidi ya miaka 500 ziliongozwa kiditekta. Madikteta wenye dhamira nzuri, kusaidia nchi zao watu wao. Uarabuni, China, Japan, Korea wote walikuwa ni madikteta ila wameendeleza nchi zao.

Ni lazima ufikie level flani, kielimu, kiuchumi, kujitambua kupewa hii Western Democracy. Mtoto wako haumpi democracy mpaka afikie level flani ya kujitambua.

Nchi inaruhusu kila kitu kisa Wazungu wamesema na nchi ya ajabu sana.
Dunia ya leo nani atakuruhusu uwe dikteta?
 
Kuna mtu akajifanya anaamini sana sayansi akamuweka Mungu wa mwisho katika shughuri zake, naona kaambulia kuchelewa kwa mvua...huyooo anaishia kupandisha bei bidhaa ili akomoe masikini. Hatari hiii!
 
Mtanzania ni mnafiki sana mtazania ni mpuuzi ngoja niendelee nasema hivi mbona badoo akili itatukaa tu
Pic%20Layer_2021111311215721.jpg
 
SERIKALI IMEUNGANA NA DUNIA YA KWANZA KUWAKANDAMIZA MASIKINI. NAMI NASEMA WAMALIZENI KABISA.

Na, Robert Heriel.

Kusoma wakati mwingine sio kuelimika, ninaushahidi wa kutosha usiotia Shaka kuwa wasomi wanashindwa na mambo mengi zaidi ya Wale wasiosoma.
Sio kwenye ndoa, sio kwenye kazi, sio kwenye uongozi.
Unajua ni kwanini?
Kwa sababu wasomi wengi wamesomea upumbavu Kama sio ujinga.
Ni Kwa sababu wasomi wamefundishwa kuwa Uniform, kufanana, kuwa kama Fulani (hasa kuwa kama Wazungu) ni nadra elimu ya wasomi wengi Kwa jamii zetu zikamfundisha mtu kuwa mbunifu zaidi ya kukariri mambo.

Ndio maana wasomi wengi na Wale wanaojiona hivyo na wenye kutumainiwa kwenye taifa hili, wasomi mashuhuri, iwe maarufu kwenye mitandao wengi hujionea fahari kujiona wasomi Kwa kukariri na kujisarehesha na Wazungu.
Wengi huwa na mtazamo kuwa Uzungu ndio usomi na hapo ndipo upumbavu wao unapodhihirika.

Wazungu wanafahamu wazi kuwa elimu waliyotupa ni mtego wao muhimu na wapekee kutufanya tuwe watu wasioweza kufikiri vizuri, tuwe watu wa bendera fuata UPEPO.

Yaani Mzungu akifanya nawe unaiga kunya Kwa Tembo.
Wasomi wengi ni waiga kunya Kwa Tembo. Siwalaumu Kwa sababu ndio wameshaathirika kisaikolojia.

Afrika haiwezi kuendelea Kwa sababu maendeleo yake niya bendera fuata UPEPO, kuiga Kwa Tembo.

Ni nadra Sana umkute msomi asiyeiga kunya Kwa Tembo, nadra Sana.

Mzungu akisema Uzazi wa mpango, bendera fuata UPEPO nao HAO.
Mzungu akisema haki Sawa, bendera fuata UPEPO hao.
Mzungu akisema Demokrasia, waiga kunya Kwa Bata HAO.
Mzungu akisema haki za wapenzi WA jinsia moja, wasomi uchwara nao HAO.
Mzungu akisema waliopewa mimba waendele na Shule, wenzangu na miye HAO wanarukia makida.

Huwezi iga watu ambao mpo tofauti nao Kwa karibu kila kitu.

Huwezi leta Demokrasia kwenye jamii ya watu masikini na wajinga Kama nchi za Afrika huko ni kuikandamiza Afrika na Nchi yako.

Hivi masikini tangu lini akawa na demokrasia?
Tangu lini masikini na mjinga akapewa demokrasia nauliza.

Demokrasia ya Wazungu ilikuja baada ya maendeleo kukua, baada ya watu kupata elimu.

Unaletaje Haki Sawa baina ya mwanamke na Mwanaume kwenye jamii ya watu masikini na wajinga. Ajabu Sana hii.
Haki Sawa inawafaa watu walioendelea kiasi na walioikimbia UMASIKINI.

Kwenye umasikini lazima mfumo mmoja utumike IMA ni mfumo jike au mfumo Dume.

Sasa unaruhusu wanawake wafanye kazi Kama wanaume alafu muda huo huo sheria hubadili unaacha Kama zilivyokuwa; mwanaume ndiye anawajibu WA kumtunza mwanamke! Hivi hiyo ni Akili kweli ndugu zangu.
Hivi hamuoni kuwa Kama mwanamke kwenye jamii masikini akipewa nafasi ya za kuajiriwa automatically tatizo la Ajira litajitokeza,

Hamfikirii kuwa Kuruhusu wanawake wafanye kazi automatically ni kuangusha taasisi ya ndoa. Hamuoni kuwa Vijana watachelewa kuoa kwani Ajira zitakuwa hakuna?

Wasomi lazima tuelewe kuwa, huwezi taka nchi yako masikini ifanane kimifumo na Nchi zilizoendelea.
Nchi zilizoendelea zinazouwezo wa kufanya hivyo Kwa sababu zimeshaendelea, kwenye maendeleo ndio kuna haki Sawa. Hata wanawake wakiajiriwa ni Sawa Kwa sababu serikali inajua wapi itapata pesa iwe Kwa kudhulumu na kunyonya nchi masikini au kuzitawala kabisa.

Sasa kanchi Kako hata uwezo wa kuvamia taifa jingine ili waibe Mali hakana unataka kuiga mambo ya nchi kubwa. Wasomi tuweni Sirius tunaongoza Nchi.

Kama serikali na wasomi ingekuwa inawapenda watoto wakike, ingeweka mipango na mikakati wasijiingize kwenye ngono zembe mapema, wangezuia watoto wasifanye zinaa ili wasipate matokeo ya zinaa ambayo huweza kuwa chanya au Hasi.

Wazungu sio kwamba wanaakili kutuzidi Waafrika isipokuwa viongozi na wasomi wa Afrika wengi wao ni bendera fuata UPEPO.

Msomi na serikali lazima tujiulize kuwa Mzungu na mataifa makubwa yanapotuamrisha Jambo Fulani, labda ni Uzazi wa mpango, au ushoga, ya Kuruhusu waliopewa mimba kuendelea na masomo, tujiulize mataifa hayo kipindi yakiwa na uchumi Kama wetu yaliruhusu mambo hayo?
Au ndio wametuhusu sasa hivi Kwa sababu washaelimisha jamii zao zikaelimika kiasi kwamba wanajua kabisa jamii zao mpaka watoto wanauelewa na elimu ya Uzazi wa mpango,

Wasomi na serikali lazima tujue kulinganisha na kutofautisha.

Lazima tujiulize, wakati Uingereza au USA ikiwa na Hali Kama yetu, ikiwa na miaka 60 tangu ipate Uhuru iliruhusu mambo ambayo inataka tuyafanye?

Sio wenzanu wamefikia level ya Kula mifupa na ninyi mpo level ya kunyonya maziwa na kunywa uji alafu wanawashinikiza mle mifupa wakati hamna Meno. Tuweni Makini Sana.

Jamii yoyote changa inahitaji sheria Kali zisizo na huruma.
Jamii na taifa likiwa masikini na ujinga mwingi linahitaji sheria Kali zisizo na huruma, huku elimu ikiendelea kutolewa.

Jamii ikishaendelea kiuchumi na kielimu ndio unaanza Kupunguza ukali wa SHERIA. Unatoa demokrasia, ndio mambo yanavyoenda hivyo.

Ustaarabu haumfai mtu mjinga na masikini Hilo kila siku ninasema na nitasema.

Serikali ninaiomba iache kuungana na Dunia ya Kwanza kuikandamiza jamii yake.

Wazungu wanatabia ya kujifanya wanakusaidia kumbe Kwa nyuma yake wanaagenda ya Siri kabisa ambayo huko mbeleni huwa mtego Kwetu.

Tangu zamani Wazungu walitumia serikali,
Dini, mashirika binafsi, watu mashuhuri, Elimu, misaada n.k kutawala Afrika.

Serikali ingejikita zaidi kuweka sheria Kali, wala isijali hawa wasomi fuata UPEPO wa Wazungu Kama bendera.

Nipumzike sasa.

Ni Yule Shahidi kutoka Nyota ya Tibeli.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa, KARIAKOO, DAR ES SALAAM
Kama mjinga hastahili demokrasia Inakuwaje mjinga awatawale wajinga wenzie kidikteta!!? Maana yako ulitaka kusema waafrika ni wajinga wasiostahili demokrasia,,,Sasa kwnn tuliwafukuza wazungu ili tufanye mambo yetu kidemkrasia??? Mchina akisema Udikteta ni itikadi sahihi wapumbavu wapenda madaraka mnashangilia ila mzungu akisema demokrasia ni itikadi sahihi,wapumbavu wapenda madaraka mnachukia,,,hatutaki udikteta! Bora warudi wazungu kututawala ila si wapumbavu wenzetu watuendeshe kidikteta hiyo hatuko tyr kuiona bora tupasuke vipande,,,kuhusu mimba acheni watoto wasome kwanini tuwe na akina mama wajinga wakati uwezo wa kuwasomesha tunao??
 
Wewe utakuwa ni Msukuma, yaani unataka uishi kama mtumwa, aisee kuna msemo unasema wakati wa utumwa kuna watumwa walikataa kuachiwa huru. Nadhani hata wew ungekataa.

Uhuru ni nini na utumwa ni nini?
Kupanga nchi yako, maendeleo ya wengi ni utumwa? Kukubali kila kitu anachokwambia Tony Blair ni uhuru?

Wasukuma hawana tatizo ni watu wazuri, real, waaminifu, waadilifu, waungwana, wachapa kazi sana.

Ni nature yao. Wanajichanganya wanaoa popote TZ. Sio wadini wakabila,wakanda wanamlinda Rais wa sasa kwa dhati.

Jaribuni kuwa, kuja na sera zisizo na ubaguzi mkiweza.

Haya mawazo yenu kusema maoni yote tofauti ni ya wasukuma, Chadema mnakosea, imepitwa na wakati.

Ni mawazo ya Watanzania wengi.
 
Dunia ya leo nani atakuruhusu uwe dikteta?

Udikteta ni nini?

Kupangiwa viongoni wako, sera zako, masoko, maisha, huo ni uhuru, haki za kibinadamu, democracy?

Usikariri, Dictacting ni either kupangiwa au kupanga mwenyewe. Inategemea na anayepanga ana nia gani. Afrika, viongozi wengi wanapangiwa.
 
SERIKALI IMEUNGANA NA DUNIA YA KWANZA KUWAKANDAMIZA MASIKINI. NAMI NASEMA WAMALIZENI KABISA.

Na, Robert Heriel.

Kusoma wakati mwingine sio kuelimika, ninaushahidi wa kutosha usiotia Shaka kuwa wasomi wanashindwa na mambo mengi zaidi ya Wale wasiosoma.
Sio kwenye ndoa, sio kwenye kazi, sio kwenye uongozi.
Unajua ni kwanini?
Kwa sababu wasomi wengi wamesomea upumbavu Kama sio ujinga.
Ni Kwa sababu wasomi wamefundishwa kuwa Uniform, kufanana, kuwa kama Fulani (hasa kuwa kama Wazungu) ni nadra elimu ya wasomi wengi Kwa jamii zetu zikamfundisha mtu kuwa mbunifu zaidi ya kukariri mambo.

Ndio maana wasomi wengi na Wale wanaojiona hivyo na wenye kutumainiwa kwenye taifa hili, wasomi mashuhuri, iwe maarufu kwenye mitandao wengi hujionea fahari kujiona wasomi Kwa kukariri na kujisarehesha na Wazungu.
Wengi huwa na mtazamo kuwa Uzungu ndio usomi na hapo ndipo upumbavu wao unapodhihirika.

Wazungu wanafahamu wazi kuwa elimu waliyotupa ni mtego wao muhimu na wapekee kutufanya tuwe watu wasioweza kufikiri vizuri, tuwe watu wa bendera fuata UPEPO.

Yaani Mzungu akifanya nawe unaiga kunya Kwa Tembo.
Wasomi wengi ni waiga kunya Kwa Tembo. Siwalaumu Kwa sababu ndio wameshaathirika kisaikolojia.

Afrika haiwezi kuendelea Kwa sababu maendeleo yake niya bendera fuata UPEPO, kuiga Kwa Tembo.

Ni nadra Sana umkute msomi asiyeiga kunya Kwa Tembo, nadra Sana.

Mzungu akisema Uzazi wa mpango, bendera fuata UPEPO nao HAO.
Mzungu akisema haki Sawa, bendera fuata UPEPO hao.
Mzungu akisema Demokrasia, waiga kunya Kwa Bata HAO.
Mzungu akisema haki za wapenzi WA jinsia moja, wasomi uchwara nao HAO.
Mzungu akisema waliopewa mimba waendele na Shule, wenzangu na miye HAO wanarukia makida.

Huwezi iga watu ambao mpo tofauti nao Kwa karibu kila kitu.

Huwezi leta Demokrasia kwenye jamii ya watu masikini na wajinga Kama nchi za Afrika huko ni kuikandamiza Afrika na Nchi yako.

Hivi masikini tangu lini akawa na demokrasia?
Tangu lini masikini na mjinga akapewa demokrasia nauliza.

Demokrasia ya Wazungu ilikuja baada ya maendeleo kukua, baada ya watu kupata elimu.

Unaletaje Haki Sawa baina ya mwanamke na Mwanaume kwenye jamii ya watu masikini na wajinga. Ajabu Sana hii.
Haki Sawa inawafaa watu walioendelea kiasi na walioikimbia UMASIKINI.

Kwenye umasikini lazima mfumo mmoja utumike IMA ni mfumo jike au mfumo Dume.

Sasa unaruhusu wanawake wafanye kazi Kama wanaume alafu muda huo huo sheria hubadili unaacha Kama zilivyokuwa; mwanaume ndiye anawajibu WA kumtunza mwanamke! Hivi hiyo ni Akili kweli ndugu zangu.
Hivi hamuoni kuwa Kama mwanamke kwenye jamii masikini akipewa nafasi ya za kuajiriwa automatically tatizo la Ajira litajitokeza,

Hamfikirii kuwa Kuruhusu wanawake wafanye kazi automatically ni kuangusha taasisi ya ndoa. Hamuoni kuwa Vijana watachelewa kuoa kwani Ajira zitakuwa hakuna?

Wasomi lazima tuelewe kuwa, huwezi taka nchi yako masikini ifanane kimifumo na Nchi zilizoendelea.
Nchi zilizoendelea zinazouwezo wa kufanya hivyo Kwa sababu zimeshaendelea, kwenye maendeleo ndio kuna haki Sawa. Hata wanawake wakiajiriwa ni Sawa Kwa sababu serikali inajua wapi itapata pesa iwe Kwa kudhulumu na kunyonya nchi masikini au kuzitawala kabisa.

Sasa kanchi Kako hata uwezo wa kuvamia taifa jingine ili waibe Mali hakana unataka kuiga mambo ya nchi kubwa. Wasomi tuweni Sirius tunaongoza Nchi.

Kama serikali na wasomi ingekuwa inawapenda watoto wakike, ingeweka mipango na mikakati wasijiingize kwenye ngono zembe mapema, wangezuia watoto wasifanye zinaa ili wasipate matokeo ya zinaa ambayo huweza kuwa chanya au Hasi.

Wazungu sio kwamba wanaakili kutuzidi Waafrika isipokuwa viongozi na wasomi wa Afrika wengi wao ni bendera fuata UPEPO.

Msomi na serikali lazima tujiulize kuwa Mzungu na mataifa makubwa yanapotuamrisha Jambo Fulani, labda ni Uzazi wa mpango, au ushoga, ya Kuruhusu waliopewa mimba kuendelea na masomo, tujiulize mataifa hayo kipindi yakiwa na uchumi Kama wetu yaliruhusu mambo hayo?
Au ndio wametuhusu sasa hivi Kwa sababu washaelimisha jamii zao zikaelimika kiasi kwamba wanajua kabisa jamii zao mpaka watoto wanauelewa na elimu ya Uzazi wa mpango,

Wasomi na serikali lazima tujue kulinganisha na kutofautisha.

Lazima tujiulize, wakati Uingereza au USA ikiwa na Hali Kama yetu, ikiwa na miaka 60 tangu ipate Uhuru iliruhusu mambo ambayo inataka tuyafanye?

Sio wenzanu wamefikia level ya Kula mifupa na ninyi mpo level ya kunyonya maziwa na kunywa uji alafu wanawashinikiza mle mifupa wakati hamna Meno. Tuweni Makini Sana.

Jamii yoyote changa inahitaji sheria Kali zisizo na huruma.
Jamii na taifa likiwa masikini na ujinga mwingi linahitaji sheria Kali zisizo na huruma, huku elimu ikiendelea kutolewa.

Jamii ikishaendelea kiuchumi na kielimu ndio unaanza Kupunguza ukali wa SHERIA. Unatoa demokrasia, ndio mambo yanavyoenda hivyo.

Ustaarabu haumfai mtu mjinga na masikini Hilo kila siku ninasema na nitasema.

Serikali ninaiomba iache kuungana na Dunia ya Kwanza kuikandamiza jamii yake.

Wazungu wanatabia ya kujifanya wanakusaidia kumbe Kwa nyuma yake wanaagenda ya Siri kabisa ambayo huko mbeleni huwa mtego Kwetu.

Tangu zamani Wazungu walitumia serikali,
Dini, mashirika binafsi, watu mashuhuri, Elimu, misaada n.k kutawala Afrika.

Serikali ingejikita zaidi kuweka sheria Kali, wala isijali hawa wasomi fuata UPEPO wa Wazungu Kama bendera.

Nipumzike sasa.

Ni Yule Shahidi kutoka Nyota ya Tibeli.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa, KARIAKOO, DAR ES SALAAM
Mkuu huyo mtoto uliyemtelekeza mpelekee mahitaki kama sheria inavyosema acha kelele nyingi.
 
Udikteta ni nini?

Kupangiwa viongoni wako, sera zako, masoko, maisha, huo ni uhuru, haki za kibinadamu, democracy?

Usikariri, Dictacting ni either kupangiwa au kupanga mwenyewe. Inategemea na anayepanga ana nia gani. Afrika, viongozi wengi wanapangiwa.
Madikiteta nafasi yenu Duniani ni finyu sana. Inazidi kuwa finyu zaidi.
 
Wewe utakuwa ni Msukuma, yaani unataka uishi kama mtumwa, aisee kuna msemo unasema wakati wa utumwa kuna watumwa walikataa kuachiwa huru. Nadhani hata wew ungekataa.
Ni kweli jamii ya watu hawa huamini katika ukatili na maonevu. Ubabe wa kijinga.
 
Korea kaskazini ni nchi wanayoishi maisha yao pekee yao na kwa namba yao hawafanyi uchaguzi unaogawanya watu na kupoteza kodi kwenye kampeni wala mda hawacheki na wala rushwa ukila rushwa na kutapeli mali ya umma utaonja adhabu ya kifo hawaigi utamaduni wa nchi nyingine yeyote hawatumii mitandao ya kijamii inayozembesha watu hawana dini inayowagawanya hakuna tv inayorusha matangazo mchana mda wa KAZI hawavai modo kukumbatiana au kubusiana hadharani

Leo taifa lao lina lina ubavu wa kusimama na kukutunishiana misuli na marekani

Nambie hakuna bbc cnn dw wala un wala mtandao wowote wa kijamii nchi ina channel tatu tu 2 zinaonesha weekend tu hizo chokochoko za kutibua nchi zinaiingilia wapi?
Korea kaskazini bado wako Utumwa zaidi ya ule wa mkoloni.
 
Ulichokiandika mkuu ni sahihi Kwa asilimia Mia moja,lakini kuna Mambo nadhani tuyajue na kuyambua pia .rais ni Tasisi na anaongoza watu zaidi ya milioni 60.kumbuka Sisi ni wanachama katika jumuia mbalimbali mfano,SADCA,AU nakadharika katika jumuia hizi kuna madhimio ya vikao pia .Chamsingi ni kusali sana
 
Kama mjinga hastahili demokrasia Inakuwaje mjinga awatawale wajinga wenzie kidikteta!!? Maana yako ulitaka kusema waafrika ni wajinga wasiostahili demokrasia,,,Sasa kwnn tuliwafukuza wazungu ili tufanye mambo yetu kidemkrasia??? Mchina akisema Udikteta ni itikadi sahihi wapumbavu wapenda madaraka mnashangilia ila mzungu akisema demokrasia ni itikadi sahihi,wapumbavu wapenda madaraka mnachukia,,,hatutaki udikteta! Bora warudi wazungu kututawala ila si wapumbavu wenzetu watuendeshe kidikteta hiyo hatuko tyr kuiona bora tupasuke vipande,,,kuhusu mimba acheni watoto wasome kwanini tuwe na akina mama wajinga wakati uwezo wa kuwasomesha tunao??

Usiropoke, kaa chini tulia, jiulize Democracy (Haki ya wengi) ni nini?

Umeme, maji, chakula, makazi, afya, elimu,ajira, biashara, usalama, rasilimali za nchi zitumike vipi ni Democracy.

Unafikiri ni haki tu ya kupiga kelele, kupinga kila kitu, kutukana?
 
Ni kati ya watu wachache Tanzania wenye akili timamu. Nchi zote Ulaya zilitumia ukatili mkubwa kupata maendeleo, utumwa, ukoloni hadi sasa ukoloni mamboleo.

Kwa zaidi ya miaka 500 ziliongozwa kiditekta. Madikteta wenye dhamira nzuri, kusaidia nchi zao watu wao. Uarabuni, China, Japan, Korea wote walikuwa ni madikteta ila wameendeleza nchi zao.

Ni lazima ufikie level flani, kielimu, kiuchumi, kujitambua kupewa hii Western Democracy. Mtoto wako haumpi democracy mpaka afikie level flani ya kujitambua.

Nchi inaruhusu kila kitu kisa Wazungu wamesema na nchi ya ajabu sana.
Autocratic leadership has positive impact or negative this will depend on how brave the leader is
 
Back
Top Bottom