Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,101
Okay nikukute kule kwenye thread ya kubadili IDNimebadili ID
Okay nikukute kule kwenye thread ya kubadili IDNimebadili ID
Kichwa cha habari na maelezo ya ndani vinatofautiana,, 15,000/= hizi ni shilingi siyo nafasi za kazi! Hivi huko shuleni siku hizi mnafundishwa ujinga?Kutokana na upungufu watumishi baada kutolewa watumishi wenye vyeti fake takribani watumishi 10,000, wilaya ya kongwe imekumbwa na sakata hilo kwa kubainika watumish 98 ktolewa hvo imesababisha kuwepo kwa upungufu watumishi na kufanya baadhi vituo afya kufungwa kwa kukosa watumishi,
Majibu ya serikali ktk ktatua changamoto hii wametoa TAMKO kuwa serikali imetangaza ajira ef15, kuziba pengo! Je hizo ajira wameztangaza kweli au ajira za majukwaani?
Chanzo,I.T.V taarfa ya habari!
u jamaa anawaza pesa tu, au anapima umakini wa gt wa jfAjira 15,000/=? Nini maana ya "/="
Unajua maana ya sanaa au umekalili? Ajira cku hz ni zaidi ya Tsh kwa vijana! Mtu anaweza kutumia fani Fulani ili kufkisha maidhui lengwa! Bora uwe mjnga usiwe mpumbavu wa kukalili na usiebadlka!Kichwa cha habari na maelezo ya ndani vinatofautiana,, 15,000/= hizi ni shilingi siyo nafasi za kazi! Hivi huko shuleni siku hizi mnafundishwa ujinga?
Kasoma Accounts bila shakaAjira 15,000/=? Nini maana ya "/="
Wewe ni nyoko,, kama huko kwenu ndo namba mnaandikaga kwa kuweka alama hii "/=" mtakuwa mapumbavuuu!! Hiyo itakuwa sanaa ya nokho!!Unajua maana ya sanaa au umekalili? Ajira cku hz ni zaidi ya Tsh kwa vijana! Mtu anaweza kutumia fani Fulani ili kufkisha maidhui lengwa! Bora uwe mjnga usiwe mpumbavu wa kukalili na usiebadlka!
Hutaisahau kwa mazuri au mabaya?hii awamu bhana... sitaisahau aisee...!
Unajua maana ya sanaa au umekalili? Ajira cku hz ni zaidi ya Tsh kwa vijana! Mtu anaweza kutumia fani Fulani ili kufkisha maidhui lengwa! Bora uwe mjnga usiwe mpumbavu wa kukalili na usiebadlka!
njoo pm dk 0 basi...!Izoee tu mkuu! Tumeipenda wenyewe...chaguo letu wenyewe
Na Mie Nimeshangaaa sanaaa mkuuDuh ama kweli elimu yetu ni ya kuihurumia tu. Wafanyakaz 15,000/=. Kumi na tano elfu bila senti....
Umeona eeeeheKwa sasa hayahitajiki matangazo, zinahitajika ajira
Hautoisahau kwani itaisha?? huyu ni kama Mugabe mkuuhii awamu bhana... sitaisahau aisee...!