The End..
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 4,361
- 3,797
nakwambia akiendelea hv lazima nimtungie kitabu... najua kitauza sana kwa harakati zake...!!!Hautoisahau kwani itaisha?? huyu ni kama Mugabe mkuu
nakwambia akiendelea hv lazima nimtungie kitabu... najua kitauza sana kwa harakati zake...!!!Hautoisahau kwani itaisha?? huyu ni kama Mugabe mkuu
hhaha utatumia Fursa...vizurinakwambia akiendelea hv lazima nimtungie kitabu... najua kitauza sana kwa harakati zake...!!!
Onyo ya nokho'ebe gashinaga ulimunhu?Ya nokho ipoje? Taweza kuwa size yangu au ni dimbwi kuogelea?
Endelea na ubishi wako Tanesco wametoa ajira zaidi ya 100Zikowapi mbona hatuzioni
Zaidi ya 100? ina maana hazijulikani ni ngapi? si mtaje tu figure kamili labda 101 au 120 au 105, All in All ajira walizotangaza Tanesco hazifiki 100 mkuuEndelea na ubishi wako Tanesco wametoa ajira zaidi ya 100
Hivyo zimebaki 14,900.
Hata kuhesabu hujui?Zaidi ya 100? ina maana hazijulikani ni ngapi? si mtaje tu figure kamili labda 101 au 120 au 105, All in All ajira walizotangaza Tanesco hazifiki 100 mkuu
unayejua kuhesabu mbona umeishia 58Hata kuhesabu hujui?
Daah yaani nikichukua Madereva 28 assistant Accountants 15 kuna procurement officer 15 nyingine Kibao hapo tuu 58.
Acha Uchizi inawezekana hata Hujaziona bado Unabisha Ujinga chizi weweunayejua kuhesabu mbona umeishia 58
Bila ya sentAjira 15,000/=? Nini maana ya "/="
Mkuu mbn unapanicAcha Uchizi inawezekana hata Hujaziona bado Unabisha Ujinga chizi wewe
Shut the fuckup!Mkuu mbn unapanic