MBIIRWA
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 2,585
- 5,245
Wenye senti wameondolewa kwa kufoji vyetiDuh ama kweli elimu yetu ni ya kuihurumia tu. Wafanyakaz 15,000/=. Kumi na tano elfu bila senti....
Wenye senti wameondolewa kwa kufoji vyetiDuh ama kweli elimu yetu ni ya kuihurumia tu. Wafanyakaz 15,000/=. Kumi na tano elfu bila senti....
Povu...Shut the fuckup!
na hao wanawekwa kuziba pengo watatuma maombi kwa njia gani mkuu? kama kwa barua pepe website gani na kama njia ya posta sanduku gani???????Kutokana na upungufu watumishi baada kutolewa watumishi wenye vyeti fake takribani watumishi 10,000, wilaya ya kongwe imekumbwa na sakata hilo kwa kubainika watumish 98 ktolewa hvo imesababisha kuwepo kwa upungufu watumishi na kufanya baadhi vituo afya kufungwa kwa kukosa watumishi,
Majibu ya serikali ktk ktatua changamoto hii wametoa TAMKO kuwa serikali imetangaza ajira ef15, kuziba pengo! Je hizo ajira wameztangaza kweli au ajira za majukwaani?
Chanzo,I.T.V taarfa ya habari!
Ujue nawaza nukuongeze likeKwa sasa hayahitajiki matangazo, zinahitajika ajira
Kweli huku ni kuconfuse, kila siku matamko mapyaUjue nawaza nukuongeze like
.... you can't convince, then confuse.
Ha ha ha ha haaaaa,, Ganyana'ebhe! Madako a'gamamayo ka ng'wana Mayunga!!Ganokho nagagasanga gagusumaga' jupi nugakanga gesumanija! Lushindo lokho lushimu omwanokho bhebhe!