mtafiti05
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 956
- 593
Kutokana na upungufu watumishi baada kutolewa watumishi wenye vyeti fake takribani watumishi 10,000, wilaya ya kongwe imekumbwa na sakata hilo kwa kubainika watumish 98 ktolewa hvo imesababisha kuwepo kwa upungufu watumishi na kufanya baadhi vituo afya kufungwa kwa kukosa watumishi,
Majibu ya serikali ktk ktatua changamoto hii wametoa TAMKO kuwa serikali imetangaza ajira ef15, kuziba pengo! Je hizo ajira wameztangaza kweli au ajira za majukwaani?
Chanzo,I.T.V taarfa ya habari!
Majibu ya serikali ktk ktatua changamoto hii wametoa TAMKO kuwa serikali imetangaza ajira ef15, kuziba pengo! Je hizo ajira wameztangaza kweli au ajira za majukwaani?
Chanzo,I.T.V taarfa ya habari!