LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,115
- 27,102
Juzi nimepita Mbezi ya Kimara kuna mmama kapigwa sh elfu 60 live live na wale matapeli wanaouza nguo na bidhaa kwa mnada.
Hao ni matapeli, na wale wanao kuwa wana bid huwa wenzao na mtu akitoa pesa anapewa bidhaa feki. Serikali/ Ulinzi shirikishi waanze kudili na watu hawa wanaumiza sana watu.
Ipo siku watakuja kuzingirwa na wananchi wenye hasira kali ikawa kama Rwandan Genocide.
Hao ni matapeli, na wale wanao kuwa wana bid huwa wenzao na mtu akitoa pesa anapewa bidhaa feki. Serikali/ Ulinzi shirikishi waanze kudili na watu hawa wanaumiza sana watu.
Ipo siku watakuja kuzingirwa na wananchi wenye hasira kali ikawa kama Rwandan Genocide.