Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,902
Umofia kwenu.
Nimesoma makala moja imenisikitisha kidogo Kuhusu ukwepaji kodi unafanyika kwenye biashara za minada huku TRA ikiambulia hasara.
Haiingii akilini mfanyabiashara akadhamilia kukwamisha mnada kwa kutaja bei kubwa alafu anatokomea na nyie mlioandaa functions mnaishia kula hasara za gharama za maandalizi,kodi hampati na biashara haifanyiki.
Sasa mnashindwa nini kusema waweke coupon au bond ya kiasi fulani kwa mujibu wa offer yake Ili aki default nae awe ameingia hasara?
Au mtu akitoa offer lazima kodi ichukuliwe kwa namna yoyote kwa sababu huwezi tamka bei ambayo huna,na inaonesha wanatamka Ili kukwamisha.
Ifike mahala matumizi ya guvu kidogo yafanyike sio kila mda ni WA kubembeleza mfanyabiashara.Hakuna mfanyabiashara yuko tayari kulipa kodi kwa hiari.
TRA na Serikali timizeni wajibu wenu ndio mko ofisini mnalipwa kodi zetu.
Nimesoma makala moja imenisikitisha kidogo Kuhusu ukwepaji kodi unafanyika kwenye biashara za minada huku TRA ikiambulia hasara.
Haiingii akilini mfanyabiashara akadhamilia kukwamisha mnada kwa kutaja bei kubwa alafu anatokomea na nyie mlioandaa functions mnaishia kula hasara za gharama za maandalizi,kodi hampati na biashara haifanyiki.
Sasa mnashindwa nini kusema waweke coupon au bond ya kiasi fulani kwa mujibu wa offer yake Ili aki default nae awe ameingia hasara?
Au mtu akitoa offer lazima kodi ichukuliwe kwa namna yoyote kwa sababu huwezi tamka bei ambayo huna,na inaonesha wanatamka Ili kukwamisha.
Ifike mahala matumizi ya guvu kidogo yafanyike sio kila mda ni WA kubembeleza mfanyabiashara.Hakuna mfanyabiashara yuko tayari kulipa kodi kwa hiari.
TRA na Serikali timizeni wajibu wenu ndio mko ofisini mnalipwa kodi zetu.