Tetesi: Serikali imejipanga kuweka complete lockdown D9 kwenye vyuo vikuu

Tetesi: Serikali imejipanga kuweka complete lockdown D9 kwenye vyuo vikuu

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
4,135
Reaction score
9,628
Hawa watu wamechanganyikiwa, vyuoni Kuna upungufu mkubwa wa wanafunzi, kuna wanafunzi wengi hawajaripoti vyuoni, mpaka vyuo vimeanza kuwapigia simu kuulizia kama ni wazima.

Vyuoni now kila siku semina ,kuwashawishi vijana wasiandamane, Sasa wamepanga tarehe 8/12 wataweka curfew vyuoni na D9 wataweka completely lockdown.

Vijana ikifika tarehe 07/12 ondokeni vyuoni.

D9 lazima kiwake.

Aione
Nassoro Katuga
Jaji Mtungi
J4 Muliro

Mto wa mbu
Illinois-USA
 
Hawa watu wamechanganyikiwa, vyuoni Kuna upungufu mkubwa wa wanafunzi, kuna wanafunzi wengi hawajaripoti vyuoni, mpaka vyuo vimeanza kuwapigia simu kuulizia kama ni wazima.

Vyuoni now kila siku semina ,kuwashawishi vijana wasiandamane, Sasa wamepanga tarehe 8/12 wataweka curfew vyuoni na D9 wataweka completely lockdown.

Vijana ikifika tarehe 07/12 ondokeni vyuoni.

D9 lazima kiwake.

Aione
Nassoro Katuga
Jaji Mtungi
J4 Muliro

Mto wa mbu
Illinois-USA
Umeeleweka mkuu.....
 
Harakati zote za kisiasa nchini Tanzania na kwa vyuo vikuu..chimbuko lake ni UDSM chini ya serikali ya wanafunzi- DARUSO.
 
Hawa watu wamechanganyikiwa, vyuoni Kuna upungufu mkubwa wa wanafunzi, kuna wanafunzi wengi hawajaripoti vyuoni, mpaka vyuo vimeanza kuwapigia simu kuulizia kama ni wazima.

Vyuoni now kila siku semina ,kuwashawishi vijana wasiandamane, Sasa wamepanga tarehe 8/12 wataweka curfew vyuoni na D9 wataweka completely lockdown.

Vijana ikifika tarehe 07/12 ondokeni vyuoni.

D9 lazima kiwake.

Aione
Nassoro Katuga
Jaji Mtungi
J4 Muliro

Mto wa mbu
Illinois-USA
Na vyakula watapewa bure?
 
Back
Top Bottom