Serikali imeiuza Kariakoo kwa Wachina

Serikali imeiuza Kariakoo kwa Wachina

Mkuu kitu kama hujui ungenyamaza Tu
Hivi bakhresa anaezalisha ngano alianza kuuza chapati nyumba kwa nyumba huoni kuna madhara kwa watu maelfu wanakouza chapati
Mchina ana kiwanda yeye auze kwa agent .agent auze kwa mtu wa jumla .yaani kinachotakiwa ni biashara ifate mkondo wake.wala winga hausiki hapa
Tatizo huku mna wivu na matajiri WA kariakoo
Wachina pigeni kazi, msiogope majungu ya Watanzania wavivu. Wao wamejaa maneno tu, bei kubwa na kustarehe baada ya kuuza kidogo tu
 
Wafanya biashara wa kibongo ni wahuni bidhaa ya 12k unauziwa 35k. Risiti hawatoi na hata wakitoa ni za magumashi Acha wachina watupe unafuu ya maisha. Tumechoka na mawinga wa kariakoo
Wamejaa tamaa. Yaani nyuzi zote hizi zinaongelea maslahi ya wafanyabiashara na sio maslahi ya wanunuzi.

Mchina anarahisisha maisha, waleta nyuzi wanataka maisha yawe magumu
 
Kwani lazima wote mkae kufanya umachinga Kariakoo? Kwanini msiende kulima mabonde na misitu yenye rutuba yako ya kumwaga.

Ila mumeona kukaa Kariakoo na kufanya uwinga ndiyo jambo la maana
Ukiangalia kwa karibu mawinga wasio na mitaji ndio wanaolalamika sababu wateja wanachukua direct kwa wachina kwa bei kitonga. Mchina hatoi mali bila cash😁
 
Wachina ni janga kubwa sana Serikali inabidi ichukue hatua haraka sana hasa kokote kule kwenye wachina Kariakoo, pale Ubungo jengo kubwa jipya, hawa wachina ni watu hatari sana na wataua uchumi wa nchi yetu na wananchi kupoteza biashara zao..!! Kuna wachina pia walitoka Mombasa wako Dar, wanajenga majengo, ni hatari sana, pia TIC waangalie wawekezaji wa kichina ni wahuni kwani anakuja mmoja ana dollar say $100,000 anajisajili mmoja kama investor kumbe wako wachina 100 ndio wamejichangisha..

Wachina wachukuliwe ni hatari kubwa kama Corona kwa uchumi wa nchi yetu, wachina wote Serikali iwafuatilie, iwe kama janga la Taifa, hasa Kkoo itapotea kabisa na wananchi wetu watapoteza biashara zote.
Awalipi kodi?
 
Hata nyie mnaishi kwao kama kwenu.

Kama hawalipi Kodi Hilo ni tatizo la mifumo yenu sio wao. Kwao kila mtu analipa Kodi sawa mgeni na mwenyeji.

Nyie wamatumbi tafuteni exposure dunia imekua kijiji kama wachina wapo kihalali nchini Wana haki za kufanya chochote ilimradi hawavunji sheria. Nyie mnaenda kwao kila siku mnataka wao wasije kwenu? Hizo kazi mnazokataa wachina wasifanye wabongo na waafrica kwa ujumla wanafanya huko nje miaka yote. Biashara ni ushindani na dunia ni Kijiji acheni kutafuta mteremko.
 
Pana kitu ambacho watu hamuelewi iangalieni kariakoo kwa mtazamo wa nchi nzima sisi wa mikoani na vijijini tunakuja dar kwa wachina kununua rahisi tunapeleka mikoani tunauza rahisi kwa wanakijiji wasio na kitu nao wapate.
 
Mawinga ndo wanaumia sahizi wala sio wafanyabiashara wenye mitaji mikubwa.
Winga haumii chochote mkuu .wanaoumia ni wafanyabiashara wenye mitaji mkubwa

Maana mchina kakuuzia vitu toka kiwandani kwake ili uje uuze nchini.na yeye anakuja nchini tena anakuja kuuza kwa bei ya chini tena Hadi mikoani kwa wateja wadogo.wewe utauza wapi?
 
Kwa watu wasiofahamu tu kuhusu Kariakoo basi tambueni hili.
Kiasili soko la kariakoo ni soko la waswahili (wazaramo, wakwere, wapemba na waarabu), ujio wa wahindi miaka ya 1980 ulileta kelele, ujio wa wachaga miaka ya 1990 ulileta kelele, ujio wa wakinga miaka ya 2000 ukaleta kelele, na ujio wa wachina miaka ya 2010 ukaleta kelele pia. Hizo zote ni jamii zenye kufanya biashara kwa kujuana wao kwa wao na kuwezeshana vilivyo.
Sasa yote haya ni woga na kelele kwa kuwa mchina ndio anatamba sasa.
 
Mkuu kitu kama hujui ungenyamaza Tu
Hivi bakhresa anaezalisha ngano alianza kuuza chapati nyumba kwa nyumba huoni kuna madhara kwa watu maelfu wanakouza chapati
Mchina ana kiwanda yeye auze kwa agent .agent auze kwa mtu wa jumla .yaani kinachotakiwa ni biashara ifate mkondo wake.wala winga hausiki hapa
Tatizo huku mna wivu na matajiri WA kariakoo
Hao wabishi achana nao, na wanadhani hawatofikiwa.

Aya sasa Mchina ananunua ardhi yenye madini uko Chunya na maeneo mengine, Mchina ana makarasha na miundombinu ya kuchimba anabeba dhahabu ya wazawa ambayo ina soko regulated duniani na bei ni soko la dunia. Napo utaambiwa wachimbaji wa Kitanzania wanataka faida kubwa.

Ukienda mikoa kama Katavi unakuta Wachina wanamiliki ardhi ya kilimo, wamepataje hujui. Wanavijiji wanambulia kuwa watumwa kwenye ardhi zao.

Nina jamaa yangu aliajiriwa nao mradi fulani, wakampeleka short course, sasahivi wamesajili kampuni kupitia wabongo wawili na terms ngumu wamewapa. Yupo front kama geresha operations ni wao wanashusha makontena.

Ubaya wa Wachina wanakomba hela kwenye mzunguko na hawana settlement ya kudumu hapa. Bora hata Wahindi na Waarabu kwa kiasi fulani tunao makumi elfu mitaani, Wachina wakipata hela yote wanatuma kwao na miaka kadhaa wanarudi kwahiyo hatupati re-investment ya ile faida yao.
 
Wamejaa tamaa. Yaani nyuzi zote hizi zinaongelea maslahi ya wafanyabiashara na sio maslahi ya wanunuzi.

Mchina anarahisisha maisha, waleta nyuzi wanataka maisha yawe magumu
Na utadhani hawa wafanyabishara wabongo wanolalamika.ni walipa kodi wazuri Hamna kitu ninwezi tu. mi kariakoo napaelwa vizuri sana customer care ya wachina ni nzuri afu ni wa wazi hakuna konakona.
 
Mkuu kitu kama hujui ungenyamaza Tu
Hivi bakhresa anaezalisha ngano alianza kuuza chapati nyumba kwa nyumba huoni kuna madhara kwa watu maelfu wanakouza chapati
Mchina ana kiwanda yeye auze kwa agent .agent auze kwa mtu wa jumla .yaani kinachotakiwa ni biashara ifate mkondo wake.wala winga hausiki hapa
Tatizo huku mna wivu na matajiri WA kariakoo
Hii inaongeza cost zisizo na msingi
 
Haiwezekani Kariakoo wachina wanaishi kama kwao.

Mbaya zaidi hawalipi kodi ipasavyo. TRA haina kanuni za asiye raia kulipa kodi kama mzawa

Hii ni sawa tu na kusema Kariakoo imeuzwa
Thibitisha kauli zako kuwa wameinunua na hawalipi kodi?
vipi na wakinga wanataka kuinunua Guangzhou? Maana wanajazana China kama kwao! We bakiaga hivyo hivyo.chelsea inawachezaji wengi weusi kuliko wazungu na wala hawana shida!
 
Back
Top Bottom