Serikali imehalalisha biashara ya nyeti bandia?

Serikali imehalalisha biashara ya nyeti bandia?

Mshuza2

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
11,568
Reaction score
17,982
Siku hizi imekuwa kawaida kukuta haya madude kwenye mikoba ya kina dada ( usiniulize nilikuwa natafuta nini)

Je, tatizo ni sisi wanaume? Na je Serikali imeruhusu?

20220718_143828.jpg
 
Tatizo vijana wanashindia chips unategemea nini?

Unakuta kijana amekaa na smart phone huku anatafuna chips anashua na mirinda, unategemea nini hapo?

Enzi zetu mambo haya hayakuwepo kabisa.
Pia siku hizi visima ni vipana sana Ili upate maji uwe na moyo.
Vinu vinatumika Sana hadi utanuka Sana
 
Nasubiri dm mzee🤣🤣
Mgosi tayari umeshauaga umaskini! PM yako muda wote itakuwa busy kuulizwa namna ya kupata hayo madude!

Cha kushangaza wanaume wa Mikoani bado uwezo tunao, nguvu tunazo, na nia tunayo! Kama akina dada huko mjini hawatosheki, si warudi tu huku Mikoani ili waendelee kufaidi mema ya nchi!
 
Back
Top Bottom