Ona sasa nimekwama kulipwa mshahara, ila mayele anakula bata kwa tozo yangu.🤣
Ona sasa nimekwama kulipwa mshahara, ila mayele anakula bata kwa tozo yangu.🤣
Bado mazeeWw Nyumisa si ndo umesema umelipwa!!!
Mama Samia aendelee mpaka atakapoamua kuacha Urais
Mkuu ulikuwa sahihi....daraja ndio lilikuwa linachelewesha
Naona muamala unasoma tofauti!
Jaman wadau Kuna waliopanda madaraja ajira ya mwezi 24/8/2018 msaada tujuane au tusubir bajet ya mwakani**
Nimegundua waliolipwa mpaka sasa ni walimu tu. Wengine bado
Huenda ni kimakundi ndo maana huu uzi haujafa hadi sasa.Itakua wanalipa Kwa makundi mi mpaka sasa bila bila
SawaMshahara utolewe 3/6/2023
Hiyo hauna haja ya kusubiri, wewe ni mwakani.Jaman wadau Kuna waliopanda madaraja ajira ya mwezi 24/8/2018 msaada tujuane au tusubir bajet ya mwakani**
Mpk afya wameshapokea
😂😂Kaka umepanda daraja?
Amepanda lile la Sarenda BridgeKaka umepanda daraja?
😀😂Na hawa ndio watumishi ninaowajua mimi
Imesaidia kuwajua wapiga keleleUzi umepoa walimu wamepata mshahara wako zao Kwa mrombo wanakula nyama choma, Mpwayungu amebaki peke yake anaushangaa uzi