Korea ya kaskazini. Cuba na China kwenyewe.Nchi zenye ishu za kijamaa huwa na tabia ya kufungia watu kama watumwa au jela. Unafikiri kwanini walijenga ukuta wa Berlin. Inabidi tuachane na sera ya ujamaa. Sheria zetu na kodi na mipango na kanuni vinaongozwa na hiyo sera. Ni zimwi lisiloonekana.