Serikali ikajifunze toka St. Francis Sekondari Mbeya kuboresha ufaulu wa kidato cha nne

Acha kujidanganya issue sio cream ebu serikali nayo ijaribu kuchukua cream tuone kama kutakuwa na matokeo mazuri hivi mfululizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaona mbali sana mkuu...hayo matokeo wawafanganye wajinga tuu maana kitaalam haiwezekani hio hata wangekuwa cream namna gani...kuna mambo mengi sana mfano kuumwa siku ya mtihani,kupanic nk sasa hawa wote walikuwa wazima tena wamepiga div one point 7 wanafunzi 62 kati ya 91...big no!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiulize tangu hio shule ianze kupata matokeo hayo zaidi ya miaka 10 iliyopita hao wanafunzi wameleta impact ipi kwa taifa?
Ni rahisi kumkuta kijana wa Taboraboys aliyepata one ya 16 akifanya vizuri chuo hadi mtaani na carrier yake,kuliko hao wa Francis wa 7.
Au kijana wa Zanzibar/Pemba aliyepata zero ni rahisi sana kuwa na kiwanda cha juisi ya miwa/duka la vitu used,ama duka la engine pale kariakoo.......ni rahisi mno kufanikiwa..........kuliko huyo wa St Francis kuja kuzunguka na bahasha akiwa na degree yake ya marketing.
Nafananisha na african countries unazaa matoto yenye afya yanakuja kua omba omba

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushawahi kumwona mwanafunzi yeyote wa st.Fransis kaja ofisini kwenu na bahasha ya kuomba kazi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ubishani mwingine huu watu wanaongelea mazoea tu kwamba haiwezekani haiwezekani ukiuliza sababu wanakwambia et shule zina watoto wa vigogo, ukienda mbali zaidi kuomba wakutajie watoto wa vigogo kwenye hizo shule hawawezi kutaja hata mmoja,
Haya mambo yanawezekana mbona hata kuna shule za serikali zinafanya vizuri zikiwekewa mikakati (mfano kisimiri na ilboru) tatizo mnataka kudharau hustle za wenzenu na mje kuleta lawama zankindezi ndezi tu hapa na mtu hata hiyo shule hajawahi kuiona mazingira yake yalivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo shule za kata hakuna elimu hapo ni njia ya kufanya watu wakue kwa pamoja katika mazingira ya kishule shule.
Shule za kata wanafunzi wanapigana walimu, wanafunzi wanavuta bangi mashuleni, wanafunzi ni watoro kupindukia na ufatiliaji hafifu, shule za kata ni kawaida kumkuta mwanafunzi hatembei na madaftari, shule za kata mazingira ya ufundishaji na vitendea kazi ni uchafu mtupu yani hata havileti motisha, shule za kata ni zoa zoa yaani wanabeba kila aina ya watu kutoka darasa la saba, ndio hizo hizo shule zikipitiwa na wakaguzi wanakuta wanafunzi hawajui kusoma na kuandika ila wapo kidato cha pili ukiuliza wamefikaje wanajibaraguza baraguza kujibu wasimamiz wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kujidanganya issue sio cream ebu serikali nayo ijaribu kuchukua cream tuone kama kutakuwa na matokeo mazuri hivi mfululizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona kidato cha sita shule za serikali hufanya vzr. Mfano mwaka Jana kisimiri waliongoza. Kumi Bora walikuwepo kibaha na tabora boys. Ni hyo ni Kwasababu form six wanaofika ni Kama tayar wamechujwa maana bila div one, two au three hupangiwi shule. Lakin kingine shule hiz za advance ni za bweni watoto hupata muda wa kujisomea kuliko nyingi za kata ambazo ni kata.

Mkuu shule za kata Kuna watoto wanaenda form one hawajui kbs kusoma mwalimu awafanyaje Sasa? Kule St Francis sio mchezo wanachuja balaa, peleka mtoto wako uone. Kuna watoto wanachujwa hizo shule na wanahamia kwingine wanapiga one. Pale hawafundishi mandezi uliza wenye watoto kule. Kila mwaka mchujo na wastani upo juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasiwe na MCHUJO tuone ubora wa hayo mazingira.Angalau wachukue wanaojua kusoma na kuandika kisha wawatengeneze kwa kutumia ubora wa hayo mazingira wapate Div.1 darasa zima.Changa la macho...!
Mkuu hili sio suala la kiimani hata kidogo ila kama una muda jaribu kuifanyia research hiyo shule kuanzia mazingira, jinsi wanavyo chagua wanafunzi, walimu wao, userious wa mwanafunzi mmoja mmoja kuhusiana na shule. Ukimaliza chagua shule yoyote ya kata au hata hizi special school halafu uje ulete majibu hapa

Shule za kata watoto wanajazana ujinga kwamba "huyu ana akili za kuzaliwa hata asipo soma anafaulu tu"

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gabbage IN Gabbage OUT.

Vijana wao wa Form I wanapatikanaje? Ukishajua hilo basi hata serikali haina haja ya kwenda kujifunza chochote kwani malengo yao ni tofauti kabisa. Lengo la serikali ni kila mwanafunzi asome bila kujali uwezo wake wa akili; St Francis wao lengo lao ni kupokea wale wanafunzi waliofanya vizuri sana darasa la saba ili na matokeo ya Form IV wafanye vizuri.
Hii ndo point.Uishi milele mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaona mbali sana mkuu...hayo matokeo wawafanganye wajinga tuu maana kitaalam haiwezekani hio hata wangekuwa cream namna gani...kuna mambo mengi sana mfano kuumwa siku ya mtihani,kupanic nk sasa hawa wote walikuwa wazima tena wamepiga div one point 7 wanafunzi 62 kati ya 91...big no!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Wivu tu
 
Hiyo shule kufikia hapo ni safari ndefu.

Mi nilisoma hapo St. Francis muda mrefu. Wakati ule iitwa St. Fransis convent wakati ule ilikuwa boarding ya boys & girls. Na walimu wengi walikuwa masista wakutoka Holland.

Serikali iliwai kutaifisha hiyo shule ikaitwa Muungano halafu ikarudisha tena kwa wenyewe nao warudia jina lao.

Kwa hiyo St. Francis imeanza kukimbiza muda mrefu. Sidhani utaweza ku copy utaratibu wa pale ukapeleka sehemu nyi gine utegemee matokeo chanya ghafla, sababu nionavyo pamoja na walimu bora pia waliwekeza katika kumtengeneza mwanafunzi kuwa na nidhamu ya shule. Ukiwa tofauti unakabidhiwa bag lako.

Kuna mtu ameandika comment eti St.Francis wanaishia mitaani. Nilipokuwa Mazengo nilishangaa kukutana na jamaa zangu pale baadae nilienda Wizara ya Maji jamaa zangu najua wapo hazina wengine.

Kinachosumbua sasa hivi wanaotaka kupeleka watoto wao pale ni wengi mno hivyo mchujo ni mkali. Anaefaulu mtihani anapata nafasi.
Hakuna ma dili eti namjua fulani pale ndio maana wanapata cream ya watoto wabishi wanaopambana na matokeo ndio kama hayo.

Naona mafanikio ya St.Francis yameanza kuwaudhi wengine.












Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana sana tu.Mfano alama za mchujo unazipandisha juu zaidi yao.Yaani kama wao wastani wao ni 80 we unaweka 90.Hapo vipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi siamini kama kunauwezekano wa kupata div 1 wote...tena one za saba....big no!!!kuna namna inayofanyika ili kunyanyua matokeo...chukulia mfano huu hai...udsm coet telecom huwa wanachukua one tu tena za point 3 mwisho point 4...lakini bado wakifanya mtihani wa chuo katika mazingira HURU bado matokeo yanakuwa na gredi zote yaani kuanzia pass mpaka first class...tukirudi st Francis kuna maslahi makubwa sana ya watoto wa vigogo maana wengi wanasoma pale hivyo iwezekano wa kuchakachua paper ni mkubwa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano wako hauko fair....
 
Huu ubishani mwingine huu watu wanaongelea mazoea tu kwamba haiwezekani haiwezekani ukiuliza sababu wanakwambia et shule zina watoto wa vigogo, ukienda mbali zaidi kuomba wakutajie watoto wa vigogo kwenye hizo shule hawawezi kutaja hata mmoja,
Haya mambo yanawezekana mbona hata kuna shule za serikali zinafanya vizuri zikiwekewa mikakati (mfano kisimiri na ilboru) tatizo mnataka kudharau hustle za wenzenu na mje kuleta lawama zankindezi ndezi tu hapa na mtu hata hiyo shule hajawahi kuiona mazingira yake yalivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu hawataki kukubali ukweli wa jinsi hii...kwenye list ya wale wanafunzi hakuna wa kigogo hata mmoja, wanataka at least St francis nao watetereke ili wapate pa kuegemea
 
Umesahau kushauri MCHUJO MKALI mkuu.Wanafunzi wapitishwe kwenye chujio lenye vitundu vidogoooo.Hapo lazima kieleweke vinginevyo hizo posho za semina ni heri zikajengee Stigilasi Goji tu.
Wazo lako ni zuri sana mkuu. Mimi naliunga mkono kwa asilimia 200, na ninashauri ifanyike kama ifuatavo:

MOJA:Serikali kupitia wizara ya Elimu itenge fungu kwenye bajeti ya mwaka 2020/2021 kwa ajili ya Semina ya Walimu wote wa TAALUMA wa shuke zote za Serkali Tanzania

PILI: Serikali itoe amri kuwa walimu wote wa Taaluma wahudhurie Semina kwenye shule hii husika, kwa hiyo kuhudhuria semina hiyo iwe ni mandatory na siyo optional!

TATU: Serikali iiombe shule husika kuendesha semina kwa ajli ya walimu hao

NNE: Mbali na kuwawezesha wana semina, Serikali pia imuwezeshe muendesha Semina husika kwa kumlipa, kupituia bajeti tajwa hapo juu.

TANO: :Muendesha Semina aandae mpango mkakati wa namna ya kuendesha Semina hizo (Schedule and content of Seminar) na kuukabidhi kwa Serikali!

Yangu ni hayo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja. Nidhamu ya kiroho
Mbili. Kuwa inua walimu
Tatu. Kuwapa uhuru walimu
Nne. Kuwasimamia walimu
Tano. Kusikiliza maoni ya wazazi
Sita. Mazingira safi ya kufundishia.
Saba. Viwango vya elimu vya walimu
Nane. Kuwa na elimu ya uelewa wa uwezo wa wanafunzi.
Shule sio ya mbeya tu.
Shule nyingi za Roman Catholic zimefanya vizuri sana. Angalia
Cannosa
Seminary mafinga
St merries ulete
Na nyingine nyingi
Tisa:MCHUJO MKALI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom