Serikali ikajifunze toka St. Francis Sekondari Mbeya kuboresha ufaulu wa kidato cha nne

Huliza

JF-Expert Member
May 5, 2017
392
982
Asilimia 100 ya wanafunzi wa ST Francis Girls Mbeya wamepata daraja la kwanza kwenye mtihani wa kidato cha nne matokeo yaliyotangazwa Leo tarehe 09/01/2019

Wanafunzi walikuwa 91 na wote wamepata division one

Shule imeongoza kitaifa masomo saba ikiwemo chemistry na Biology

Asilimia 92 yaani 92%wamepata division one ya point 07 mpaka 10

Asilimia zaidi ya 62 yaani 62% wamepata division one ya point 7

Kwa ufupi division one point saba au single digit ya 7 ndio idadi kubwa ya wanafunzi wamepata daraja hilo

Zaidi ya wanafunzi 62 wamepata division one ya point saba kati ya wanafunzi wote 91

Hii shule ina miaka zaidi ya ishirini ikifanya vizuri zaidi, kwanini serikali haiendi kujifunza huko Mbeya kwenye shule ya kanisa Catholic

Serikali inakwama wapi? Mbeya sio mbali ni kumtuma Ndalichako Waziri akajifunze mazingira na aina ya walimu hapo

Zaidi ya miaka ishirini shule inakimbiza mchakamchaka

Nilipoangalia shule za kata huko Dsm na Ruvuma niliamua kufunga website

Nilipoangalia shule za wilaya na mikoa zile kubwa kubwa zimejaa division Four na zero

Serikali inakwama wapi kwenda St Francis Mbeya kujifunza nauli kwa basi ni elfu 40,000 tu Fedha za kitanzania
 
T

Du tupe 10 bora mkuu kama ipo jirani net inakwama sana
Jedwali la 32: Wavulana Kumi (10) Bora Kitaifa (CSEE)

NAFASI JINA SHULE MKOA
1DENIS STEPHEN KINYANGENYEGEZI SEMINARYMWANZA
2ERICK HONORATH MUTASINGWASENGEREMA SEMINARYMWANZA
3MVANO M CABANGOHFEZA BOYS'DAR ES SALAAM
4YOHANA ASSA MWASHAMBWAMALANGALIIRINGA
5BRUNO BASSILLEY BRUNODON BOSCO SEMINARYIRINGA
6NELSON FRANCIS MBIGILIST. DOMINIC SAVIOIRINGA
7EBENEZER PROSPER MUJUNGUFARAJA SEMINARYKILIMANJARO
8TIMOTHY ISRAEL MJUNICENTENNIAL CHRISTIAN SEMINARYPWANI
9RICHARDSON PILOT KWAREHCENTENNIAL CHRISTIAN SEMINARYPWANI
10HENRY JOHN KIMBORICENTENNIAL CHRISTIAN SEMINARYPWANI
Jedwali la 31: Wasichana Kumi (10) Bora Kitaifa (CSEE)
NAFASI JINA SHULE MKOA
1JOAN WILLIAM RITTEST. FRANCIS GIRLSMBEYA
2ROSALIA ASHERI MWIDEGEST. FRANCIS GIRLSMBEYA
3DOMINA NYANGOMA WAMARAST. FRANCIS GIRLSMBEYA
4AGATHA MARSELIN MLELWAST. FRANCIS GIRLSMBEYA
5SARAH BROWN KADUMAST. FRANCIS GIRLSMBEYA
6SHAMMAH SALLY KIUNSIST. FRANCIS GIRLSMBEYA
7LUCY E MAGASHIHURUMA GIRLSDODOMA
8IMANI ITROSY SANGAST. FRANCIS GIRLSMBEYA
9JOYCE OSCAR MAGWAZAST. FRANCIS GIRLSMBEYA
10MARTHER EMMANUEL NGOWIST. FRANCIS GIRLSMBEYA

Jedwali la 33: Shule Kumi (10) Bora Kitaifa (CSEE)

NAFASI JINA LA SHULE IDADI MKOA
1KEMEBOS70KAGERA
2ST. FRANCIS GIRLS91MBEYA
3FEZA BOYS'74DAR ES SALAAM
4CANOSSA103DAR ES SALAAM
5ANWARITE GIRLS'54KILIMANJARO
6PRECIOUS BLOOD91ARUSHA
7MARIAN BOYS'108PWANI
8ST. AUGUSTINE TAGASTE110DAR ES SALAAM
9MAUA SEMINARY52KILIMANJARO
10MUSABE BOYS118MWANZA
 
Ikajifunze KUCHUJA?
Asilimia 100 ya wanafunzi wa ST Francis Girls Mbeya wamepata daraja la kwanza kwenye mtihani wa kidato cha nne matokeo yaliyotangazwa Leo tarehe 09/01/2019

Wanafunzi walikuwa 91 na wote wamepata division one

Shule imeongoza kitaifa masomo saba ikiwemo chemistry na Biology

Asilimia 92 yaani 92%wamepata division one ya point 07 mpaka 10

Asilimia zaidi ya 62 yaani 62% wamepata division one ya point 7

Kwa ufupi division one point saba au single digit ya 7 ndio idadi kubwa ya wanafunzi wamepata daraja hilo

Zaidi ya wanafunzi 62 wamepata division one ya point saba kati ya wanafunzi wote 91

Hii shule ina miaka zaidi ya ishirini ikifanya vizuri zaidi, kwanini serikali haiendi kujifunza huko Mbeya kwenye shule ya kanisa Catholic

Serikali inakwama wapi? Mbeya sio mbali ni kumtuma Ndalichako Waziri akajifunze mazingira na aina ya walimu hapo

Zaidi ya miaka ishirini shule inakimbiza mchakamchaka

Nilipoangalia shule za kata huko Dsm na Ruvuma niliamua kufunga website

Nilipoangalia shule za wilaya na mikoa zile kubwa kubwa zimejaa division Four na zero

Serikali inakwama wapi kwenda St Francis Mbeya kujifunza nauli kwa basi ni elfu 40,000 tu Fedha za kitanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi siamini kama kunauwezekano wa kupata div 1 wote...tena one za saba....big no!!!kuna namna inayofanyika ili kunyanyua matokeo...chukulia mfano huu hai...udsm coet telecom huwa wanachukua one tu tena za point 3 mwisho point 4...lakini bado wakifanya mtihani wa chuo katika mazingira HURU bado matokeo yanakuwa na gredi zote yaani kuanzia pass mpaka first class...tukirudi st Francis kuna maslahi makubwa sana ya watoto wa vigogo maana wengi wanasoma pale hivyo iwezekano wa kuchakachua paper ni mkubwa..
Asilimia 100 ya wanafunzi wa ST Francis Girls Mbeya wamepata daraja la kwanza kwenye mtihani wa kidato cha nne matokeo yaliyotangazwa Leo tarehe 09/01/2019

Wanafunzi walikuwa 91 na wote wamepata division one

Shule imeongoza kitaifa masomo saba ikiwemo chemistry na Biology

Asilimia 92 yaani 92%wamepata division one ya point 07 mpaka 10

Asilimia zaidi ya 62 yaani 62% wamepata division one ya point 7

Kwa ufupi division one point saba au single digit ya 7 ndio idadi kubwa ya wanafunzi wamepata daraja hilo

Zaidi ya wanafunzi 62 wamepata division one ya point saba kati ya wanafunzi wote 91

Hii shule ina miaka zaidi ya ishirini ikifanya vizuri zaidi, kwanini serikali haiendi kujifunza huko Mbeya kwenye shule ya kanisa Catholic

Serikali inakwama wapi? Mbeya sio mbali ni kumtuma Ndalichako Waziri akajifunze mazingira na aina ya walimu hapo

Zaidi ya miaka ishirini shule inakimbiza mchakamchaka

Nilipoangalia shule za kata huko Dsm na Ruvuma niliamua kufunga website

Nilipoangalia shule za wilaya na mikoa zile kubwa kubwa zimejaa division Four na zero

Serikali inakwama wapi kwenda St Francis Mbeya kujifunza nauli kwa basi ni elfu 40,000 tu Fedha za kitanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi siamini kama kunauwezekano wa kupata div 1 wote...tena one za saba....big no!!!kuna namna inayofanyika ili kunyanyua matokeo...chukulia mfano huu hai...udsm coet telecom huwa wanachukua one tu tena za point 3 mwisho point 4...lakini bado wakifanya mtihani wa chuo katika mazingira HURU bado matokeo yanakuwa na gredi zote yaani kuanzia pass mpaka first class...tukirudi st Francis kuna maslahi makubwa sana ya watoto wa vigogo maana wengi wanasoma pale hivyo iwezekano wa kuchakachua paper ni mkubwa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Telecom ya miaka ya saivi au???!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiulize tangu hio shule ianze kupata matokeo hayo zaidi ya miaka 10 iliyopita hao wanafunzi wameleta impact ipi kwa taifa?
Ni rahisi kumkuta kijana wa Taboraboys aliyepata one ya 16 akifanya vizuri chuo hadi mtaani na carrier yake,kuliko hao wa Francis wa 7.
Au kijana wa Zanzibar/Pemba aliyepata zero ni rahisi sana kuwa na kiwanda cha juisi ya miwa/duka la vitu used,ama duka la engine pale kariakoo.......ni rahisi mno kufanikiwa..........kuliko huyo wa St Francis kuja kuzunguka na bahasha akiwa na degree yake ya marketing.
Nafananisha na african countries unazaa matoto yenye afya yanakuja kua omba omba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiulize tangu hio shule ianze kupata matokeo hayo zaidi ya miaka 10 iliyopita hao wanafunzi wameleta impact ipi kwa taifa?
Ni rahisi kumkuta kijana wa Taboraboys aliyepata one ya 16 akifanya vizuri chuo hadi mtaani na carrier yake,kuliko hao wa Francis wa 7.
Au kijana wa Zanzibar/Pemba aliyepata zero ni rahisi sana kuwa na kiwanda cha juisi ya miwa/duka la vitu used,ama duka la engine pale kariakoo.......ni rahisi mno kufanikiwa..........kuliko huyo wa St Francis kuja kuzunguka na bahasha akiwa na degree yake ya marketing.
Nafananisha na african countries unazaa matoto yenye afya yanakuja kua omba omba

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mambo ya kulisaidia taifa yaliisha na azimio la Arusha, Kwa sasa mzazi anawekeza katika elimu ya mwanae ili aweze kulinda future yake na hilo la kulisaidia taifa huja kama impact tu.
Kingine huwezi jua impact yao kama huna data za kujua wao wapo wapi na wanafanya nini hivyo ni kheri upunguze kuwa negative. It will save your soul
 
Hakuna cha kujifunza watoto walioingia form 1 mwaka st Francis wapelekwe kata na waliopo kata waende st Francis tuje tuone matokeo.. Kinachowabeba st Francis wanachukua cream
Anza na ada mwanao anayolipa hapo shule,

ongeza masharti yao makali ya hiyo shule,

hata simu tu hairuhusiwi,


weka wastani wa ufaulu mitihani ya ndani waliowekewa hao mabinti kwamba usipoufikisha umejiondoa shule mwenyewe

ongeza miundombinu ya shule, na maana kila jengo lipo na limekamilika,

ogeza ukamilifu wao wa vitabu na uhuru wao wanao wapa watoto kwenda computer room kuchukua material mengine zaid,

ongeza wao kuchelewa kufunga shule kupata muda wa ziada wa masomo unao lipiwa na wazazi, hasa kwa madarasa ya mitihani

ongeza comitment ya wazazi kwa watoto wao kila mara kuwakumbusha na kufuatilia msomo ya watoto wao kupitia visiting days,

ongeza mazoezi mengi ya maswali na mitihani wanayopewa yakila mwezi na kusahihishwa na kupimwa uwezo wao

Ongeza mazingira bora ya waalimu, wanalipwa posho ya masomo yaziada, wanapewa makazi bora na kusimamiwa ipasavyo

Alafu njoo jiulize yoote hayo kama yanapatika shule zako za kata!!


Kama wazazi wenyewe tu wa shule za kata kuchangia rim tu wanalalamika, madaftari tu ya watoto yenyewe shida, mitoto inazururula hovyo,

Hata kama wakipewa zero watoe one inawezekana kwamazingira hayo tajwa hapo juu!! Tuache siasa kwenye elimu.

Mfano leo hii serikali ina toa elimu bure jambo jema, mitihani inafanyika ya ndani watoto hawafanyi na wanaendelea na vidato vinavyo fuata mfano form one kwenda form two, mtoto hafanyi mitihani na bado uwezi mwondoa, form three form four the same!!


Watoto ni watoro, lakini gawafanywi kitu, watoro wanava hovyo hovyo, wachafu, wapo raff raff tu unategemea nini?

Mimi huwa naamini shule za kata ni mabanda ya kufugia wa toto na sio shule zile!! Ikitokea mtoto akafanya vyema hata ukimfuatilia utaona utofauti na comitment toka kwa wazazi na yeye mwenyewe kuhusu shule so, tuseme ukweli ELIMU INACHEZEWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi siamini kama kunauwezekano wa kupata div 1 wote...tena one za saba....big no!!!kuna namna inayofanyika ili kunyanyua matokeo...chukulia mfano huu hai...udsm coet telecom huwa wanachukua one tu tena za point 3 mwisho point 4...lakini bado wakifanya mtihani wa chuo katika mazingira HURU bado matokeo yanakuwa na gredi zote yaani kuanzia pass mpaka first class...tukirudi st Francis kuna maslahi makubwa sana ya watoto wa vigogo maana wengi wanasoma pale hivyo iwezekano wa kuchakachua paper ni mkubwa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huamini nini? Watu wanawekeza kwenye elimu miaka na miaka leo unakuja kisema huamini duuuh!!

Acha sisi tuendelee na elimu bure ya wanyonge yenye siasa ndani yake huku tukisema "haiwezekani kupata div one darasa zima... "



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom