Huliza
JF-Expert Member
- May 5, 2017
- 392
- 982
Asilimia 100 ya wanafunzi wa ST Francis Girls Mbeya wamepata daraja la kwanza kwenye mtihani wa kidato cha nne matokeo yaliyotangazwa Leo tarehe 09/01/2019
Wanafunzi walikuwa 91 na wote wamepata division one
Shule imeongoza kitaifa masomo saba ikiwemo chemistry na Biology
Asilimia 92 yaani 92%wamepata division one ya point 07 mpaka 10
Asilimia zaidi ya 62 yaani 62% wamepata division one ya point 7
Kwa ufupi division one point saba au single digit ya 7 ndio idadi kubwa ya wanafunzi wamepata daraja hilo
Zaidi ya wanafunzi 62 wamepata division one ya point saba kati ya wanafunzi wote 91
Hii shule ina miaka zaidi ya ishirini ikifanya vizuri zaidi, kwanini serikali haiendi kujifunza huko Mbeya kwenye shule ya kanisa Catholic
Serikali inakwama wapi? Mbeya sio mbali ni kumtuma Ndalichako Waziri akajifunze mazingira na aina ya walimu hapo
Zaidi ya miaka ishirini shule inakimbiza mchakamchaka
Nilipoangalia shule za kata huko Dsm na Ruvuma niliamua kufunga website
Nilipoangalia shule za wilaya na mikoa zile kubwa kubwa zimejaa division Four na zero
Serikali inakwama wapi kwenda St Francis Mbeya kujifunza nauli kwa basi ni elfu 40,000 tu Fedha za kitanzania
Wanafunzi walikuwa 91 na wote wamepata division one
Shule imeongoza kitaifa masomo saba ikiwemo chemistry na Biology
Asilimia 92 yaani 92%wamepata division one ya point 07 mpaka 10
Asilimia zaidi ya 62 yaani 62% wamepata division one ya point 7
Kwa ufupi division one point saba au single digit ya 7 ndio idadi kubwa ya wanafunzi wamepata daraja hilo
Zaidi ya wanafunzi 62 wamepata division one ya point saba kati ya wanafunzi wote 91
Hii shule ina miaka zaidi ya ishirini ikifanya vizuri zaidi, kwanini serikali haiendi kujifunza huko Mbeya kwenye shule ya kanisa Catholic
Serikali inakwama wapi? Mbeya sio mbali ni kumtuma Ndalichako Waziri akajifunze mazingira na aina ya walimu hapo
Zaidi ya miaka ishirini shule inakimbiza mchakamchaka
Nilipoangalia shule za kata huko Dsm na Ruvuma niliamua kufunga website
Nilipoangalia shule za wilaya na mikoa zile kubwa kubwa zimejaa division Four na zero
Serikali inakwama wapi kwenda St Francis Mbeya kujifunza nauli kwa basi ni elfu 40,000 tu Fedha za kitanzania