crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,410
- 3,376
Nilikuwa napitia majina ya wanafunzi waliochaguliwa katika shule bora za serikali nchini. Kwa asilimia zaidi ya 90 wamejaza watoto wanaotoka shule za binafsi /private. Na kama unavyojua hizi shule hufaulisha sana. Unakuta shule moja watoto wote wamepata one kali.
hii inamzibia mtoto wa shule ya kata. Yaani pamoja na kupambana na changamoto zilizopo katika shule hizo halafu akapata one ya single digit hawezi kupata nafasi hiyo.
kwa nini serikali isiangalie namna ya kumsaidia huyu mtoto ikampa favor katika uchaguzi ? Unakuta shule nzima one za single digit zipo tano lakini wote wanatupwa shule za kawaida. Unalionaje hili jambo?
hii inamzibia mtoto wa shule ya kata. Yaani pamoja na kupambana na changamoto zilizopo katika shule hizo halafu akapata one ya single digit hawezi kupata nafasi hiyo.
kwa nini serikali isiangalie namna ya kumsaidia huyu mtoto ikampa favor katika uchaguzi ? Unakuta shule nzima one za single digit zipo tano lakini wote wanatupwa shule za kawaida. Unalionaje hili jambo?