Siyo kuwa Mtanzania anapenda kununua gari lililotumika la hasha. Kinachopelekea Mtanzania kununua gari lililotumika na hali ya kipato chake. Kwa Mtanzania kama mimi siwezi kununua gari jipya la toleo la toyota kwa gharama ya Tshs.120,000,000 au Toyota Landcruiser hard top kwa Tshs. 160,000,000 n.k.
Nimeshudia magari ya aina ya mahindra kutoka India ni magari ambayo hayadumu kabisa hata ukiyanunua yakiwa mapya na ni afadhali ununue gari lililotumika ya Japan kuliko Mahindra. Ninaishauri Serikali kuwa ili kuruhusu wananchi kununua magari yaliyotumika basi iweke ukomo wa mwaka.
Leo nimesoma gazeti moja la Kenya na Serikali ya Kenya imetoa taarifa kuwa kuanzia 1 Januari, 2024 magari yatakayoingizwa nchini Kenya yawe ya kuanzia 1 Januari, 2017. tunatakiwa tuige mfano huo wa Kenya. bado watanzania hatuna uwezo wa kuagiza au kununua magari mapya.
Nimeshudia magari ya aina ya mahindra kutoka India ni magari ambayo hayadumu kabisa hata ukiyanunua yakiwa mapya na ni afadhali ununue gari lililotumika ya Japan kuliko Mahindra. Ninaishauri Serikali kuwa ili kuruhusu wananchi kununua magari yaliyotumika basi iweke ukomo wa mwaka.
Leo nimesoma gazeti moja la Kenya na Serikali ya Kenya imetoa taarifa kuwa kuanzia 1 Januari, 2024 magari yatakayoingizwa nchini Kenya yawe ya kuanzia 1 Januari, 2017. tunatakiwa tuige mfano huo wa Kenya. bado watanzania hatuna uwezo wa kuagiza au kununua magari mapya.