Russia is not your enemy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2023
- 373
- 612
Ukimya sio Jibu, Serikali iingilie kati Mgogoro wa CWT dhidi ya Wanachama.
Ni miaka zaidi 20 Serikali na wanachama hawajatulia na CWT wanatoa majibu mepesi.
Nakumbuka CWT ilijinasibu kuwatekelezea walimu mahitaji yao ikaahidi mambo mengi sana kama benk yao, majimbo yao, nk.
Katika vikao mbalimbali wanachama wamekuwa wakidai haki yao bila majibu ya kueleweka.
Miaka mitatu hadi minne sasa viliibuka vyama kama CHAKUWAWATA, nk, tafsiri ya hii ni kwamba walimu wamechoshwa na hadaa ya CWT, kwamba serikali nayo imeziba masikio. 2% ya Makato ni kubwa mno, mishahara wenyewe haujitoshelezi.
Ikumbukwe katika ahadi ya CWT ni miradi ya kuwanifaisha wanachama badala yake CWT inaendelea kukusanya 2%, hii si sawa kabisa. Nimeshuhudia wazee wameanza na kustaafu bila manufaa ya moja kwa moja kutoka CWT. Imefikia wakati sasa kuachana na CWT au Serikali iingilie kati suala hili.
Wananchi walilalamika bila majibu.
Ni miaka zaidi 20 Serikali na wanachama hawajatulia na CWT wanatoa majibu mepesi.
Nakumbuka CWT ilijinasibu kuwatekelezea walimu mahitaji yao ikaahidi mambo mengi sana kama benk yao, majimbo yao, nk.
Katika vikao mbalimbali wanachama wamekuwa wakidai haki yao bila majibu ya kueleweka.
Miaka mitatu hadi minne sasa viliibuka vyama kama CHAKUWAWATA, nk, tafsiri ya hii ni kwamba walimu wamechoshwa na hadaa ya CWT, kwamba serikali nayo imeziba masikio. 2% ya Makato ni kubwa mno, mishahara wenyewe haujitoshelezi.
Ikumbukwe katika ahadi ya CWT ni miradi ya kuwanifaisha wanachama badala yake CWT inaendelea kukusanya 2%, hii si sawa kabisa. Nimeshuhudia wazee wameanza na kustaafu bila manufaa ya moja kwa moja kutoka CWT. Imefikia wakati sasa kuachana na CWT au Serikali iingilie kati suala hili.
Wananchi walilalamika bila majibu.
Mshahara wa mwalimu unavyotafunwa CWT
Na Thadei Ole Mushi. Walimu wa nchi hii asilimia 90 uliwaambia kwa nn Viongozi wa CWT huwa wanapigana wenyewe kwa wenyewe hawawezi kukuambia na wala hawajui chochote. Nataka leo usijiulize tena kwa nini wanapigana na kupelekana mahakamani kila siku…. Twende sawa na ripoti hii ifuatayo:- 1...
www.jamiiforums.com
Nini tija ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kwa Walimu?
Amani iwe kwenu, Katika tafakuri yangu weekend hii nimejiuliza maswali kadhaa kuhusu faida wanayoipata waalimu kupitia chama chao cha waalimu kitaifa. Kuna mambo kadhaa yanayotafakarisha nikaona vyema nije kwenu wanaJF tusaidiane kupata majibu. Tukianza na usajili wa chama cha waalimu, je ni...
www.jamiiforums.com
Ushauri kwa Serikali: Chama cha Walimu Tanzania (CWT) mali zake ziuzwe na zigawanywe kwa walimu kisha chama hiki kifutwe
CWT hakuna msaada wowote kwa mwalimu zaidi ya kumkata kuanzia shilingi elf 15,000 hadi elf 60,000 kwa mwezi kulingana na daraja lake, kisha hizo pesa zinaliwa na wajanja wachache. Kupitia hizo pesa, chama kimeweza kutengeneza miradi mbalimbali na hadi kufungua bank (MCB) kwa fedha hizi hizi za...
www.jamiiforums.com