Serikali iangalie kwa ukaribu suala la Bima ya Afya. Mzigo ni mkubwa sana kwa Mtu kama Mimi

Hao wajinga ndio wanaofanya nchi inadorora kila siku.Dawa sio kuwaacha maana wakiachwa wanazidi kua wengi,ndo hivyo nchi unakuta ina wajinga wengi werevu wachache.Tukatae ujinga popote tunapokutana nao.
Siku zimebadi 19 za kuendekeza ujinga
 
Alisema lema anawaombea nyinyi wananchi muwe maisha magumu zaidi ili mpate akili ya kufanya mabadiliko
Nikweli kabisa,akili zimetufunguka Sasa. Nasubiri inshu ya bandari tuone wangapi wataungana na Mimi kutoka katika usingizi mzito wa kupumbazwa na watawala.
 
Nimeikuta tena kule jamhuri ya kina shangazi Maria
 

Attachments

  • Screenshot_20230917-114314.png
    Screenshot_20230917-114314.png
    50.3 KB · Views: 3
Tatizo sio toto card wala kuanzisha uchangiaji mpya ili mfuko wa Bima uweze kujiendesha...Kiini cha Tatizo la nchi hii ni siasa, tulipofikia ufisadi na ufujaji wa pesa za umma upo kila sekta, mfano leo tutakuja na bandari kesho ufisadi SGR,kesho kutwa riport ya CAG miaka inakimbia na kwa bahati mbaya hakuna hatua inayochukuliwa zaidi ya kusikia mama yenu kakerwa na matumizi mabaya ya fedha,kilio kile kile vile viburi akina nchemba wamezoea, nothing we can do,tunasahau huu ni mfumo wa zaidi ya miaka 60 huyo sa100 ni kinyago tu hawezi watisha waliomchonga,mateso yatakapozidi watanzania 1 day tutaungana kuitoa sisiem na mizizi yake msoga, waje wengine full stop.
 
Tatizo sio toto card wala kuanzisha uchangiaji mpya ili mfuko wa Bima uweze kujiendesha...Kiini cha Tatizo la nchi hii ni siasa, tulipofikia ufisadi na ufujaji wa pesa za umma upo kila sekta, mfano leo tutakuja na bandari kesho ufisadi SGR,kesho kutwa riport ya CAG miaka inakimbia na kwa bahati mbaya hakuna hatua inayochukuliwa zaidi ya kusikia mama yenu kakerwa na matumizi mabaya ya fedha,kilio kile kile vile viburi akina nchemba wamezoea, nothing we can do,tunasahau huu ni mfumo wa zaidi ya miaka 60 huyo sa100 ni kinyago tu hawezi watisha waliomchonga,mateso yatakapozidi watanzania 1 day tutaungana kuitoa sisiem na mizizi yake msoga, waje wengine full stop.
Mkuu upo sahihi sana
 
Nimeikuta sehemu

Sema mnatuonaga mang'ombe sana nyie!
1. Mmeongeza mishahara kwa 5millions
2. Mnatumia billions 500+ kujinunulia mashangingi
3. Mnaibia mfuko wa NHIF (CAG report)
4.Mmeongezeana posho from 350k to 470k per day.
Compensation yahaya ni kunyima matibabu watoto?

UPUUZI MTUPU
 
Yote hii ni kuwatoa watu kwenye mjadala wa DP World! Tuache kupiga kelele kuhusu waarabu na bandari zetu na tujadili bima. Walianza na katiba ni kijitabu na Sasa wameleta bima. Pumbavu sana!
Kila kitu ni DPW. Aliyeanzisha hili la bima itakua ndio ameenda kurenew bima ya mtoto wake ndio maana imevuma sana siku za hivi karibuni. Mbona ni jambo lina muda tangu lipitishwe.

Mtoto ni 120K kutoka 50400 na lazima awe tegemezi kwa mzazi la sivyo akatiwe shuleni 50400.
 
Kila kitu ni DPW. Aliyeanzisha hili la bima itakua ndio ameenda kurenew bima ya mtoto wake ndio maana imevuma sana siku za hivi karibuni. Mbona ni jambo lina muda tangu lipitishwe.

Mtoto ni 120K kutoka 50400 na lazima awe tegemezi kwa mzazi la sivyo akatiwe shuleni 50400.
Swala la bima toka March limefutwa, kuna influencer kakuta bila bila, kalianzisha na kasahau DPW
 
Swala la bima toka March limefutwa, kuna influencer kakuta bila bila, kalianzisha na kasahau DPW
Mkuu umesoma maneno wa waziri wa afya ummy Mwalimu...

"Ndio ukweli, Bima ni Sayansi. Wakate wengi wachangiane wachache watakaougua. TOTO AFYA KADI HAIJAFUTWA, kilichobadilika ni utaratibu wa kuwasajili. Utaratibu wa sasa ni kuwa watoto wasajiliwe shuleni kwa gharama ile ile ya 50,400/- ili waingie wengi. wasio wagonjwa na hivyo kuweza kuchangiana wachache watakaogua. Kwa sasa Toto Afya Kadi wamesajiliwa watoto laki 2 tu; tuhimizane wazazi/walezi kuwakatia Bima ya Afya watoto wetu. Naamini wakisajiliwa watoto japo asilimia 10 tu (Milioni 3) kwa utaratibu huu basi tunaweza kuhakikisha ustahamilivu na uendelevu wa fao hili.

Mwisho, Sera ya watoto wa umri chini ya miaka 5 au watu wasio na uwezo kupata msamaha bado haijafutwa. Hospitali zote za umma zinaendelea kuhudumia watoto wa umri chini ya miaka mitano kupitia utaratibu wa Misamaha."
 
Mie naona hili swala la Bima litafutiwe MWARUBAINI..

Tujitahidi pia kuwa Serious na MAISHA.

120K sawa sawa na sh.343 kwa siku hiki kiwango ni cha kawaida sana isipokuwa kwa wale MAFUKARA waliopitiliza yaani wanaoishi chini ya DoLa moja kwa siku.

Tujiulize bila unafki je unashindwa kuwekeza tsh 343 kwa siku kama Bima ya Mwanao?


Serikali iwe na uadilifu tu ktk matumizi ya haya makusanyo litakuja kufa jitu wakati wa Uchaguzi wasipokuwa makini.
 
Mie naona hili swala la Bima litafutiwe MWARUBAINI..

Tujitahidi pia kuwa Serious na MAISHA.

120K sawa sawa na sh.343 kwa siku hiki kiwango ni cha kawaida sana isipokuwa kwa wale MAFUKARA waliopitiliza yaani wanaoishi chini ya DoLa moja kwa siku.

Tujiulize bila unafki je unashindwa kuwekeza tsh 343 kwa siku kama Bima ya Mwanao?


Serikali iwe na uadilifu tu ktk matumizi ya haya makusanyo litakuja kufa jitu wakati wa Uchaguzi wasipokuwa makini.
Mkuu upo sahihi sana kwa mtazamo wako. Kiuwalisia mambo hayapo kama unavyo sema.

Tuje kwenye field kwenyewe; familia Ina watoto wangapi,bila kusaahu familia nyingi za hali ya chini ndiyo zinaongoza kuzaliana. Hii yote tunatumia tendo la ndoa kama ni sehemu ya kupungizia stress,na ukija kutahamaki Abdul,Samia amekwisha ingia.
Je,unahisi nitaweza kugharamia dawa za kutoa mimba. Kwahiyo Sasa nitakuwa wakina Abdul's watakuwa wanakuja asubuhi na jioni.

Hapo Bado sijakata bima ya mama yao Wala ya kwangu na Wala hapo sijakata bima ya Bibi na Babu yao ambao wamefikia umri wa maradhi kuwatembelea mara kwa mara.

Vipi umepata picha kwani tunaomba huu mzigo bima ungeangaliwa kwa mapama yake.
 
Mkuu upo sahihi sana kwa mtazamo wako. Kiuwalisia mambo hayapo kama unavyo sema.

Tuje kwenye field kwenyewe; familia Ina watoto wangapi,bila kusaahu familia nyingi za hali ya chini ndiyo zinaongoza kuzaliana. Hii yote tunatumia tendo la ndoa kama ni sehemu ya kupungizia stress,na ukija kutahamaki Abdul,Samia amekwisha ingia.
Je,unahisi nitaweza kugharamia dawa za kutoa mimba. Kwahiyo Sasa nitakuwa wakina Abdul's watakuwa wanakuja asubuhi na jioni.

Hapo Bado sijakata bima ya mama yao Wala ya kwangu na Wala hapo sijakata bima ya Bibi na Babu yao ambao wamefikia umri wa maradhi kuwatembelea mara kwa mara.

Vipi umepata picha kwani tunaomba huu mzigo bima ungeangaliwa kwa mapama yake.
Sawa, sasa mtu unazaa watoto 8 unategemea yule aliyezaa watoto 3 akuchangie na ww uliyezaa hao 8.. unaona kuna usawa hapo kweli?

Mechanism moja wapo ni watu wapunguze kuzaa zaa hovyo huku uwezo wa kuwahudumia hauna.

Nakuelewa kuhusu hiyo MICHANGO naona ni MICHANGO Kausha DAMU hasa. Sijafurahishwa nayo hasa hiyo option ya Kila mtu ajitegemee ktk michango.
 
Yani ni mara elfu wangeweka bima ya afya iwe bure kisha waingize tozo ya bima kwenye line za simu. Walau hapo wangekuwa wamefikiria kikubwa.

Maumivu ya Tozo yangekuwepo ila mtu akienda hospitali anapata huduma bure bila kuchajiwa haileti ukakasi. Kupitia tozo za miamala serikali ilikuwa ina raise hela ya kutosha sana kwa mwaka kuliko hizo rates za kinyonyaji. Sijui wamefikiriaje ila kama matibabu yakiwa kupitia tozo za miamala.
Gharama za matibabu ni kubwa mno, haziwezi zikawa covered na tozo za miamala.
 
Back
Top Bottom