Serikali iangalie kwa ukaribu suala la Bima ya Afya. Mzigo ni mkubwa sana kwa Mtu kama Mimi

Maan

Member
Sep 11, 2023
50
76
Rais Samia na Waziri Ummy Mwalimu Watanzania mnaowaambia walipe BIMA ya afya shilingi 488,000 kwa baba na mama, 120,000 kwa kila mtoto, na kama wanaishi na wazee wao, basi Kila mmoja wawalipie shilingi 360,000.

Hamuoni kama BIMA yenu ni kejeli kwa Watanzania walio wengi, tena wa hali ya chini kama Mimi?

Njoo katika uhalisia wa hali yangu halafu uniambie je, nitaweza?

Tulio wengi hatuna kazi rasmi ambazo zenye kunihakikishia maokoto yangu ya uhakika yanakuwepo. Nikisema nijihakikishie kuzipa leo ili nifanye maajabu nyumbani kwa kupambana aswa aswa ni kulibahatisha liten nite (elf 10).

Nimeweka elf 10 ili iwe raisi kueleweka. Pia naomba nifanye hiyo elf ni Kila siku pasipo kukosa hata siku moja kwenye kutafuta hata kama unaumwa haijalishi katika kuipata liteni lako.

Tunachukulia hakuna kupumzika, kwa mwezi tunategemea kukusanya laki 3. Kama tusipo igusa hata shilingi 10

Matumizi kwa siku kwa mwenye familia ya mke na watoto kama watoto 2 tu Kwanza. Kwa kujibana sana juu ya matumizi ili tuone tunatengeneza balance kiasi gani ili tuweze kukitumia kwenye kuwekeza juu ya Afya ya familia.

Matumizi
1) Michele kg 1 ule Mchele wenye mawe kama yote ni elf 2000

2)unga kilo moja ya Dona shilingi 2000

3)
Maharagwe kg 1 3200/= ili yatumike siku nzima

4) Mboga za majani zilizo katwa katwa ni sh. 500

5) Mkaa kopo 500 kwa elf 1000

6) Fujo ndogo ndogo kama vile mafutta vitungu nyanya n.k labda tuseme itumike elf 1000

7) Kuna nshu ya maji ya kutumia, sabuni ya kutumia, kama vile kuosha vyombo kufua nguo n.k labda tuseme elf 2000

Tuje kwenye macalculation sasa
2000+2000+3200+500+1000+1000+2000= 11,700/=

Inazidi hadi pesa unayipata kwenye maokoto yako kwa siku. Hapa ninazungumzia wale wote wenye kuingiza elf 10 kwa siku na Wala si wale wenye kuingiza chini ya hapo. 😂😂😂

Hivi kweli kabisa Mh.Rais hii serikali yako inamfikilia mwananchi wa hali ya chini kama Mimi ama mnatuona wote tupo sawa na nyinyi katika maokoto yenu?

Je, kwa mtazamo wa harakaharaka huyu mtu ataweza kumudu gharama za BIMA yako kweli Mh. Rais wangu?

Kumbuka anao watu Wanao mtegemea nje ya familia yake inayomzunguka kama vile baba mama na ndugu zake wengine wapembeni wasio na uwezo. Pia Kuna mawifi mashemeji na wakwe zake.

Mh. Rais katika hili mnaleta masihala kwa watanzani wa hali ya chini, hapa ndipo tunasema aliyenacho hataki kumkumbuka asiyenacho.
 
Uwenda wamekuficha ukweli,tunaomba sana mh. Rais tupunguzie mzigo wa bima ya afya ikibidi gharama za kuchangia ziwe ndogo ili ikibidi watu wengi tunufaike nayo. Shukrani kama maombi yangu yataonekana na kukufikia mbele yako.
 
Uwenda wamekuficha ukweli,tunaomba sana mh. Rais tupunguzie mzigo wa bima ya afya ikibidi gharama za kuchangia ziwe ndogo ili ikibidi watu wengi tunufaike nayo. Shukrani kama maombi yangu yataonekana na kukufikia mbele yako.
Watanunua mashangingi ni nini? Wachochezi nyinyi
 
Rais Samia na Waziri Ummy Mwalimu Watanzania mnaowaambia walipe BIMA ya afya shilingi 488,000 kwa baba na mama, 120,000 kwa kila mtoto, na kama wanaishi na wazee wao, basi Kila mmoja wawalipie shilingi 360,000.

Hamuoni kama BIMA yenu ni kejeli kwa Watanzania walio wengi, tena wa hali ya chini kama Mimi?

Njoo katika uhalisia wa hali yangu halafu uniambie je, nitaweza?

Tulio wengi hatuna kazi rasmi ambazo zenye kunihakikishia maokoto yangu ya uhakika yanakuwepo. Nikisema nijihakikishie kuzipa leo ili nifanye maajabu nyumbani kwa kupambana aswa aswa ni kulibahatisha liten nite (elf 10).

Nimeweka elf 10 ili iwe raisi kueleweka. Pia naomba nifanye hiyo elf ni Kila siku pasipo kukosa hata siku moja kwenye kutafuta hata kama unaumwa haijalishi katika kuipata liteni lako.

Tunachukulia hakuna kupumzika, kwa mwezi tunategemea kukusanya laki 3. Kama tusipo igusa hata shilingi 10

Matumizi kwa siku kwa mwenye familia ya mke na watoto kama watoto 2 tu Kwanza. Kwa kujibana sana juu ya matumizi ili tuone tunatengeneza balance kiasi gani ili tuweze kukitumia kwenye kuwekeza juu ya Afya ya familia.

Matumizi
1) Michele kg 1 ule Mchele wenye mawe kama yote ni elf 2000

2)unga kilo moja ya Dona shilingi 2000

3)
Maharagwe kg 1 3200/= ili yatumike siku nzima

4) Mboga za majani zilizo katwa katwa ni sh. 500

5) Mkaa kopo 500 kwa elf 1000

6) Fujo ndogo ndogo kama vile mafutta vitungu nyanya n.k labda tuseme itumike elf 1000

7) Kuna nshu ya maji ya kutumia, sabuni ya kutumia, kama vile kuosha vyombo kufua nguo n.k labda tuseme elf 2000

Tuje kwenye macalculation sasa
2000+2000+3200+500+1000+1000+2000= 11,700/=

Inazidi hadi pesa unayipata kwenye maokoto yako kwa siku. Hapa ninazungumzia wale wote wenye kuingiza elf 10 kwa siku na Wala si wale wenye kuingiza chini ya hapo. 😂😂😂

Hivi kweli kabisa Mh.Rais hii serikali yako inamfikilia mwananchi wa hali ya chini kama Mimi ama mnatuona wote tupo sawa na nyinyi katika maokoto yenu?

Je, kwa mtazamo wa harakaharaka huyu mtu ataweza kumudu gharama za BIMA yako kweli Mh. Rais wangu?

Kumbuka anao watu Wanao mtegemea nje ya familia yake inayomzunguka kama vile baba mama na ndugu zake wengine wapembeni wasio na uwezo. Pia Kuna mawifi mashemeji na wakwe zake.

Mh. Rais katika hili mnaleta masihala kwa watanzani wa hali ya chini, hapa ndipo tunasema aliyenacho hataki kumkumbuka asiyenacho.
Umeainisha maisha halisi ya mtanzania wa hali ya chini kbs but... Watawala wakiona hii kwanza hawakuelew wanaona umeandika maruweruwe!! Maan wao wameshiba na kuvimbiwa na bado wanaendelea kula!!
 
Umeainisha maisha halisi ya mtanzania wa hali ya chini kbs but... Watawala wakiona hii kwanza hawakuelew wanaona umeandika maruweruwe!! Maan wao wameshiba na kuvimbiwa na bado wanaendelea kula!!
Kazi ni kwao kuwa upande wa wananchi ama kuendelee kufumba macho na kuziba masikio kuona uwalisia wa mtanzania
 
Rais Samia na Waziri Ummy Mwalimu Watanzania mnaowaambia walipe BIMA ya afya shilingi 488,000 kwa baba na mama, 120,000 kwa kila mtoto, na kama wanaishi na wazee wao, basi Kila mmoja wawalipie shilingi 360,000.

Hamuoni kama BIMA yenu ni kejeli kwa Watanzania walio wengi, tena wa hali ya chini kama Mimi?

Njoo katika uhalisia wa hali yangu halafu uniambie je, nitaweza?

Tulio wengi hatuna kazi rasmi ambazo zenye kunihakikishia maokoto yangu ya uhakika yanakuwepo. Nikisema nijihakikishie kuzipa leo ili nifanye maajabu nyumbani kwa kupambana aswa aswa ni kulibahatisha liten nite (elf 10).

Nimeweka elf 10 ili iwe raisi kueleweka. Pia naomba nifanye hiyo elf ni Kila siku pasipo kukosa hata siku moja kwenye kutafuta hata kama unaumwa haijalishi katika kuipata liteni lako.

Tunachukulia hakuna kupumzika, kwa mwezi tunategemea kukusanya laki 3. Kama tusipo igusa hata shilingi 10

Matumizi kwa siku kwa mwenye familia ya mke na watoto kama watoto 2 tu Kwanza. Kwa kujibana sana juu ya matumizi ili tuone tunatengeneza balance kiasi gani ili tuweze kukitumia kwenye kuwekeza juu ya Afya ya familia.

Matumizi
1) Michele kg 1 ule Mchele wenye mawe kama yote ni elf 2000

2)unga kilo moja ya Dona shilingi 2000

3)
Maharagwe kg 1 3200/= ili yatumike siku nzima

4) Mboga za majani zilizo katwa katwa ni sh. 500

5) Mkaa kopo 500 kwa elf 1000

6) Fujo ndogo ndogo kama vile mafutta vitungu nyanya n.k labda tuseme itumike elf 1000

7) Kuna nshu ya maji ya kutumia, sabuni ya kutumia, kama vile kuosha vyombo kufua nguo n.k labda tuseme elf 2000

Tuje kwenye macalculation sasa
2000+2000+3200+500+1000+1000+2000= 11,700/=

Inazidi hadi pesa unayipata kwenye maokoto yako kwa siku. Hapa ninazungumzia wale wote wenye kuingiza elf 10 kwa siku na Wala si wale wenye kuingiza chini ya hapo.

Hivi kweli kabisa Mh.Rais hii serikali yako inamfikilia mwananchi wa hali ya chini kama Mimi ama mnatuona wote tupo sawa na nyinyi katika maokoto yenu?

Je, kwa mtazamo wa harakaharaka huyu mtu ataweza kumudu gharama za BIMA yako kweli Mh. Rais wangu?

Kumbuka anao watu Wanao mtegemea nje ya familia yake inayomzunguka kama vile baba mama na ndugu zake wengine wapembeni wasio na uwezo. Pia Kuna mawifi mashemeji na wakwe zake.

Mh. Rais katika hili mnaleta masihala kwa watanzani wa hali ya chini, hapa ndipo tunasema aliyenacho hataki kumkumbuka asiyenacho.

Vyombo vya Moto mnakatia Bima, ila uhai wako hutaki kuukatia Bima asalaaleh
 
Kiukweli maisha ni magumu mtaani,watawala Kuna haja ya kuya review maisha ya mtanzania wa chini kama Mimi,ikibidi kumsaidi ili kumpungizia gharama ya maisha kwa kumfanya asikwepe kulipia mambo ya msingi kwa ajili yake na familia yake. Mfano bima ya afya n.k
 
Vyombo vya Moto mnakatia Bima, ila uhai wako hutaki kuukatia Bima asalaaleh
Nashukuru kwa kunikumbusha na hili kijana wangu,kiukweli maisha yanazidi kuwa magumu.

Ila kiukweli hii bima sioni kama ni kubwa sana kama iliyopo kwenye bima ya afya,alafu kingine kama ulikuwa hujui asilimia kubwa ya wateja wa bima hizi hawalipi hadi wapate shida ndiyo wakimbizane na vyombo vya Dola . Kwahiyo huwezi kuona ama kusema inaumiza kwa sababu juu moja,unaikata ukiwa na pesa ya ziada tena kwa uhitaji maharumu kwa wakati maharumu. Kama utahitaji nikiuleze zaidi njoo uniambie
 
Uwenda wamekuficha ukweli,tunaomba sana mh. Rais tupunguzie mzigo wa bima ya afya ikibidi gharama za kuchangia ziwe ndogo ili ikibidi watu wengi tunufaike nayo. Shukrani kama maombi yangu yataonekana na kukufikia mbele yako.

Kama waliweza kufuta Toto bima bila aibu sizani kama mama abdu atakuelewa. Yeye na kina abdu wana uhakika wa kutibiwa popote duniani kwa gharama zetu sisi. Hivyo kaziba masikio
 
Rais Samia na Waziri Ummy Mwalimu Watanzania mnaowaambia walipe BIMA ya afya shilingi 488,000 kwa baba na mama, 120,000 kwa kila mtoto, na kama wanaishi na wazee wao, basi Kila mmoja wawalipie shilingi 360,000.

Hamuoni kama BIMA yenu ni kejeli kwa Watanzania walio wengi, tena wa hali ya chini kama Mimi?

Njoo katika uhalisia wa hali yangu halafu uniambie je, nitaweza?

Tulio wengi hatuna kazi rasmi ambazo zenye kunihakikishia maokoto yangu ya uhakika yanakuwepo. Nikisema nijihakikishie kuzipa leo ili nifanye maajabu nyumbani kwa kupambana aswa aswa ni kulibahatisha liten nite (elf 10).

Nimeweka elf 10 ili iwe raisi kueleweka. Pia naomba nifanye hiyo elf ni Kila siku pasipo kukosa hata siku moja kwenye kutafuta hata kama unaumwa haijalishi katika kuipata liteni lako.

Tunachukulia hakuna kupumzika, kwa mwezi tunategemea kukusanya laki 3. Kama tusipo igusa hata shilingi 10

Matumizi kwa siku kwa mwenye familia ya mke na watoto kama watoto 2 tu Kwanza. Kwa kujibana sana juu ya matumizi ili tuone tunatengeneza balance kiasi gani ili tuweze kukitumia kwenye kuwekeza juu ya Afya ya familia.

Matumizi
1) Michele kg 1 ule Mchele wenye mawe kama yote ni elf 2000

2)unga kilo moja ya Dona shilingi 2000

3)
Maharagwe kg 1 3200/= ili yatumike siku nzima

4) Mboga za majani zilizo katwa katwa ni sh. 500

5) Mkaa kopo 500 kwa elf 1000

6) Fujo ndogo ndogo kama vile mafutta vitungu nyanya n.k labda tuseme itumike elf 1000

7) Kuna nshu ya maji ya kutumia, sabuni ya kutumia, kama vile kuosha vyombo kufua nguo n.k labda tuseme elf 2000

Tuje kwenye macalculation sasa
2000+2000+3200+500+1000+1000+2000= 11,700/=

Inazidi hadi pesa unayipata kwenye maokoto yako kwa siku. Hapa ninazungumzia wale wote wenye kuingiza elf 10 kwa siku na Wala si wale wenye kuingiza chini ya hapo. 😂😂😂

Hivi kweli kabisa Mh.Rais hii serikali yako inamfikilia mwananchi wa hali ya chini kama Mimi ama mnatuona wote tupo sawa na nyinyi katika maokoto yenu?

Je, kwa mtazamo wa harakaharaka huyu mtu ataweza kumudu gharama za BIMA yako kweli Mh. Rais wangu?

Kumbuka anao watu Wanao mtegemea nje ya familia yake inayomzunguka kama vile baba mama na ndugu zake wengine wapembeni wasio na uwezo. Pia Kuna mawifi mashemeji na wakwe zake.

Mh. Rais katika hili mnaleta masihala kwa watanzani wa hali ya chini, hapa ndipo tunasema aliyenacho hataki kumkumbuka asiyenacho.
Yani ni mara elfu wangeweka bima ya afya iwe bure kisha waingize tozo ya bima kwenye line za simu. Walau hapo wangekuwa wamefikiria kikubwa.

Maumivu ya Tozo yangekuwepo ila mtu akienda hospitali anapata huduma bure bila kuchajiwa haileti ukakasi. Kupitia tozo za miamala serikali ilikuwa ina raise hela ya kutosha sana kwa mwaka kuliko hizo rates za kinyonyaji. Sijui wamefikiriaje ila kama matibabu yakiwa kupitia tozo za miamala.
 
Vyombo vya Moto mnakatia Bima, ila uhai wako hutaki kuukatia Bima asalaaleh
Vyombo vya moto vina flat rate. Bima ya 118,000 inalipika vizuri tu. Ingekuwa watu wote wanachangia hio fedha kwa ajili ya bima sidhani kama ungeona watu wanalalamika humu.

Hizo rates walizoweka serikali ni overcharging na ukichunguza kwa undani utakuta ni kwa ajili ya kufidia matumizi yao ya anasa. Sio kwamba mfuko hauwezi kujiendesha.
 
Yani ni mara elfu wangeweka bima ya afya iwe bure kisha waingize tozo ya bima kwenye line za simu. Walau hapo wangekuwa wamefikiria kikubwa.

Maumivu ya Tozo yangekuwepo ila mtu akienda hospitali anapata huduma bure bila kuchajiwa haileti ukakasi. Kupitia tozo za miamala serikali ilikuwa ina raise hela ya kutosha sana kwa mwaka kuliko hizo rates za kinyonyaji. Sijui wamefikiriaje ila kama matibabu yakiwa kupitia tozo za miamala.
Nikweli kabisa mkuu wazo zuri sana tena ilipaswa lipite bila kupingwa kabisa na Wala tusinge pinga kabisa na ninaamini mingejitolee kutoa elimu kwa umma
 
Vyombo vya moto vina flat rate. Bima ya 118,000 inalipika vizuri tu. Ingekuwa watu wote wanachangia hio fedha kwa ajili ya bima sidhani kama ungeona watu wanalalamika humu.

Hizo rates walizoweka serikali ni overcharging na ukichunguza kwa undani utakuta ni kwa ajili ya kufidia matumizi yao ya anasa. Sio kwamba mfuko hauwezi kujiendesha.
Mkuu Kuna watu wengine wanapenda kuingiza uchawa hadi kwenye mambo ya msingi wapotezee
 
Rais Samia na Waziri Ummy Mwalimu Watanzania mnaowaambia walipe BIMA ya afya shilingi 488,000 kwa baba na mama, 120,000 kwa kila mtoto, na kama wanaishi na wazee wao, basi Kila mmoja wawalipie shilingi 360,000.

Hamuoni kama BIMA yenu ni kejeli kwa Watanzania walio wengi, tena wa hali ya chini kama Mimi?

Njoo katika uhalisia wa hali yangu halafu uniambie je, nitaweza?

Tulio wengi hatuna kazi rasmi ambazo zenye kunihakikishia maokoto yangu ya uhakika yanakuwepo. Nikisema nijihakikishie kuzipa leo ili nifanye maajabu nyumbani kwa kupambana aswa aswa ni kulibahatisha liten nite (elf 10).

Nimeweka elf 10 ili iwe raisi kueleweka. Pia naomba nifanye hiyo elf ni Kila siku pasipo kukosa hata siku moja kwenye kutafuta hata kama unaumwa haijalishi katika kuipata liteni lako.

Tunachukulia hakuna kupumzika, kwa mwezi tunategemea kukusanya laki 3. Kama tusipo igusa hata shilingi 10

Matumizi kwa siku kwa mwenye familia ya mke na watoto kama watoto 2 tu Kwanza. Kwa kujibana sana juu ya matumizi ili tuone tunatengeneza balance kiasi gani ili tuweze kukitumia kwenye kuwekeza juu ya Afya ya familia.

Matumizi
1) Michele kg 1 ule Mchele wenye mawe kama yote ni elf 2000

2)unga kilo moja ya Dona shilingi 2000

3)
Maharagwe kg 1 3200/= ili yatumike siku nzima

4) Mboga za majani zilizo katwa katwa ni sh. 500

5) Mkaa kopo 500 kwa elf 1000

6) Fujo ndogo ndogo kama vile mafutta vitungu nyanya n.k labda tuseme itumike elf 1000

7) Kuna nshu ya maji ya kutumia, sabuni ya kutumia, kama vile kuosha vyombo kufua nguo n.k labda tuseme elf 2000

Tuje kwenye macalculation sasa
2000+2000+3200+500+1000+1000+2000= 11,700/=

Inazidi hadi pesa unayipata kwenye maokoto yako kwa siku. Hapa ninazungumzia wale wote wenye kuingiza elf 10 kwa siku na Wala si wale wenye kuingiza chini ya hapo.

Hivi kweli kabisa Mh.Rais hii serikali yako inamfikilia mwananchi wa hali ya chini kama Mimi ama mnatuona wote tupo sawa na nyinyi katika maokoto yenu?

Je, kwa mtazamo wa harakaharaka huyu mtu ataweza kumudu gharama za BIMA yako kweli Mh. Rais wangu?

Kumbuka anao watu Wanao mtegemea nje ya familia yake inayomzunguka kama vile baba mama na ndugu zake wengine wapembeni wasio na uwezo. Pia Kuna mawifi mashemeji na wakwe zake.

Mh. Rais katika hili mnaleta masihala kwa watanzani wa hali ya chini, hapa ndipo tunasema aliyenacho hataki kumkumbuka asiyenacho.
Jiunge na Strategies wao 230,000 ni wewe, mwezi wako na watoto 4.

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom