Dont go away
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 501
- 208
- Thread starter
- #81
Nashindwa kuelewa. Naomba wajuzi wa haya mambo wanieleweshe zaidi.
Hivi hizo pesa kenye akounti ya escrow zinasababishaje nchi kwenda mrama.?
je hata kama zisingechotwa...zingekuwepo bado, ingehalalisha kutolewa kwake ili zije kuziba haya mapungufu??
Mkuu, kwanza ujue kuwa Mwaka huu bili ya umeme ilipanda kwa mwezi hivyo Unit moja unajua ni sh. ngapi?
Pesa zilizoibwa ni za bili ya umeme tunazolipa kila mwezi na kodi zetu tunazokatwa kila sekunde unaponunua kitu chochote hizi kodi ndizo pesa ambazo serikali iliisadia TANESCO kama ruzuku ili iweze kulipa deni lake.
Athari kiuchumi ni kubwa mno.