JET SALLI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,993
- 2,034
kuwa na Rais kama huyu asiye fikiri wala kuwaza ni mzigo mzito sanasana kwa nchi,kuna wale wapumbavu wote wanashabikia ccm wafumbua macho waone ccm ilipotufikisha.kikwete ana mambo ya kijingajinga,mzahamzaha,utotoutoto tu,haiwezekani hali ya nchi iko hiv yy anachekecheka tu kama bulicheka,Rais gani anakuwa hana nia njema kwa TAIFA,huyu Rais ni mtunza wezi,Wahisani waendelee hivyo hivyo na wasilete fedha ili Majinga,mazoba na mazuzu yote yapate akili.Alafu eti ndani ya ccm kuna watu kama akina Lowasa wanataka urais na wanadhani wananchi ni wajinga kama wao.wakati wa CCM KUZIKWA UMEFIKA NA LAZIMA IZIKWE.Watatutambua Mbwa washenzi hawa.