Dont go away
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 501
- 208
- Thread starter
- #21
Naamini hata Mh Rais ameshajua kuwa Watz wamemchoka,na yeye Bila shaka hii Hali inamnyima raha Ila Ndio afanye nini kwani mashambulizi toka kwa raia na msingi mbovu wa utawala aliouweka unamfanya ashindwe kujua pa kuanzia,ninachoomba Watz wezangu hata kama tunataka hii chama iparanganyike lkn tumuombee Mh Rais amalize salama na asije kufanya maamuzI ya ajabu zaidi na kuligharimu Taifa kwani hasara itakuwa yetu sote.......
Mkuu maombi hapa hayasaidii hasa unapomuombea mtu kama huyu kwani tyr ana tamaa na ni mtu asiyeeleweka anatoka wapi na kwenda wapi.