suleym
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,961
- 1,211
Muda mwingine tumia akili zako kufikiri. Khali ya kifedha serikalini ni mbaya mno. Si majungu ni taarifa za ndani kabisa hazina. Wanafunzi wa mwaka wa pili na kuendelea asilimia kubwa hawajalipwa loan hadi leo.
Achana na Juha huyo hajui chochote kazi yake kushabikia upuuzi wowote wa unaofanywa na CCM, ukiacha wanafunzi kutokupata loan, huyo Juha aulize OC zimepelekwa lini kwenye wizara au idara za serikali?