Tanzania Kwanza 2015
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 452
- 164
Commercial banks wakiisha kopesha serikali pesa nyingi kiasi hicho basi wafanya hiashara hawakopeshwi, biashara zao zinadumaa.... pia riba za commercial banks ni kubwa sana... 16 to 24%... sasa kwa kiasu hicho cha hela, serikali itatoa wapi pesa za riba? Hii ni crisis na rasmi Tz inaingia kwenye financial crisis. ... wana JF mnao fanya kazi na serikali kuweni makini na waonyeni ndugu zenu wasifanye kazi na serikali....