Ryaro wa Ryaro
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 2,659
- 1,430
Kiswahili wewe hukijuwi.
Tena hao Waarabu ndiyo wenye asilimia zaidi ya 60 kwa sasa kwenye Kiswahili, zamani ilikuwa zaidi ya 70.
Wacheni uongo kuhusu nchi kuwa imefilisika, ingefilisika mngekwenda kula krismassi na bibi na babu zenu? thubutu.
Huyu dada tunaambiwa ndio msomi maana MADARASA zote Kapitia na Pia Kaswida.Ni msomi wa Mlengo fulani anayekiri kuwahi kuikosoa serikali ya JK kwa mambo mawili tu na mengine yote anasema ni safi;
Kwa nini walimtia nguvuni Shehe Issa Ponda baada ya kuvamia viwanja vile na kuamasisha fujo???;
na Pili aliilaumu serikali ya JK kwa nini Shehe aliyefanya makosa Zanzibar aliletwa bara mahabusu na kujibu mashitaka yake kwenye mahakama za bara??
Hapo utaona huyu bibi ni mtu wa aina gani hapa kwenye Jukwaa nhili.....Kwa ujumla wengi wa wasomaji tunapata shida sana kumwelewa huyu bibi.
Reply