Serikali hoi kifedha, Sasa kukopa...

Serikali hoi kifedha, Sasa kukopa...

Wala usipate shida kunielewa, mapenzi yangu kwanza kwa Uislam.

Mengine yote yanafatia hilo.

Vipi ile crusade (mavamizi)aliyoifanya nyerere mwaka 64 zidi ya wazanzibar je unaikubali?
 
Vipi ile crusade (mavamizi)aliyoifanya nyerere mwaka 64 zidi ya wazanzibar je unaikubali?

Muulize Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu wa chadema na mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni.
 
Kwani nchi kuwa hoi kifedha ni jambo la ajabu dunia ya leo, mbona hata hayo mataifa makubwa kila uchao benki kuu zao zinatoa bond kwa sababu serikari zinahitaji hela za kuendesha shughuli zake na wakati mwengine ni mkopo ambao aukupangwa hela tu zimetumika hovyo au makadirio ya mapato/matumizi sio yale yaliyotegemewa kutokana na activities za uchumi iwe kudorora au inflation.

Tatizo hapa ni wasimamizi wa matumizi ya serikari na wanasiasa kwa ujumla, serikari inapotoa budget yake lazima upinzani uulize vyanzo vya mapato na uwezo wa serikari kutekeleza hiyo miradi na kuhoji uhakika wa vyanzo vyenywe kutokana na economic activities au uhakika wa misaada.

Isitoshe serikari yenyewe lazima iwe ina monitor its cash flow kwa kufanya vitu kama 'historical variances' or things of that nature wakati wanatumbua hili kujua kama wanatumia zaidi au budget inaweza kwama wakifika sehemu waanze kujipanga vipi kuzuia madhara ya watu kukosa mishahara au miradi ya serikari kutotekelezwa.

Timu ya wizara lazima iwe inajua inaweza fanya veriment wapi kama kuna sehemu hela bado hipo kunusuru shotfalls za serikari, au muda gani wa kukopa kabla madhara ayajafikia jamii.

Sasa ukiona kila mwaka serikari katikati imeishiwa ujue wataalamu waliokuwa wizara ya fedha sio makini kabisa, ndio maana yake hivi hawa jamaa wamesoma wapi jamani mbona ovyo sana kila sehemu katika serikari. Ndio Phd wenyewe hao sijui master luluki more than pathetic.
 
kuhusu jeshi sawa lakini sio viongozi wa jeshi. bora mwanajeshi wa cheo cha chini Copro atafaa u private means lower other rank
 
Kiasi fulani kajitahidi ila wakati huu kunahitajika watu wenye elimu na maalifa makubwa upate ajira yenye maslahi mazuri.Huenda tuendako fist degree isiweze kumkomboa mtz.
 
Future tuliwawazia sisi na wazee wetu wakamchaguwa Nyerere kuwa ndiye msomi wa kutumainiwa na sisi tukashangilia sana tukajuwa huyu msomi atatukomboa kiukweli, kumbe ni msomi lakini hajaelimika, akatutowa kwenye neema akatutumbukiza kwenye lindi la umasikini duniani, tukawa masikini wa mwisho.

Awamu hii tukapata kijana mtanashati, mwenye haiba na tabasamu na tukasema aah, haya si ndiyo yale yale ya Nyerere! dah! kumbe tulikuwa wrong, kijana huyu wa sasa kafanya mema kweli kweli bila kuchoka, kwa miaka 9 katutowa kwenye umasikini wa kutupwa, katuongezea umri wa kutegemea kuishi, katufunguwa macho na masikio katufanya tuweze kuongea bila uoga, katuonesha nini demokrasia, kafunga mpaka mawaziri wasio waaminifu.

Huyu ndiye ilikuwa tumpate mwanzoni. Lakini ni mipango ya Mwenyeezi Mungu.
Kafungaje mawaziri wakati mpaka sasa ugomvi tulionao na yeye ni kuwakingia kifua hao mawaziri wake? Mpaka sasa sijaona waziri aliyefungwa zaidi kesi ya Mramba na Yona ambayo kwasasa nimeanza kuhisi ni siasa tu maana hawa waliochukua pesa za umma hadharani yupo tayari kufa nao. Nakubaliana na wewe kwa kiasi suala la demokrasia japo bado kuna baadhi ya watu wameng'olewa kucha na wengine kuuwawa.
 
Nikusaidie kwenye uongo, huko kweli siwezi kukusaidia. kama ni mfanyakazi na saa hizi upo JF ina maana wewe ni mwizi wa mali ya umma, hufai hata chembe.

Nchi ilifilisika wakati wa Nyerere, umeshawahi kula ugali wa Yanga wa msaada kutoka watu wa Merekani?
una mawazo mgando kama akili yako.
 
Kikwete na majizi wenziye, wanatakiwa washughulikiwe mara moja. Hakuna haja ya kufuata protocol tena maana hawa watu ni washenzi.

Naomba tuorodheshe majina y ahaya majizi ili tuanze kuwashughulikiwa mmoja mmoja mahala pale walipo.

Ninaanza :-

Jakaya Kikwete
Salma kikwete
Salama kikwete
Miraji kikwete.
Riziwani kikwete
RPC Kamhanda (Huyu anatakiwa kulipia damu ya mwangosi)
endelezeni list
 
Gwajima, kilaini, kakobe, mbowe, askofu aliyefukuzwa slaa , endelea.......
 
"Kama serikali haina hela za kutosha kwa nini wasiagize makampuni ya kutengeneza pesa watuchapie noti za elfu 10, 10 nyingi na kwa haraka ili kuziba fedheha hii........."

Inflation je..??
 
tukajuwa = tukajua
akatutowa = akatutoa
maskini wa mwisho = tajiri wa kwanza
kutufunguwa = kutufungua

Future tuliwawazia sisi na wazee wetu wakamchaguwa Nyerere kuwa ndiye msomi wa kutumainiwa na sisi tukashangilia sana tukajuwa huyu msomi atatukomboa kiukweli, kumbe ni msomi lakini hajaelimika, akatutowa kwenye neema akatutumbukiza kwenye lindi la umasikini duniani, tukawa masikini wa mwisho.

Awamu hii tukapata kijana mtanashati, mwenye haiba na tabasamu na tukasema aah, haya si ndiyo yale yale ya Nyerere! dah! kumbe tulikuwa wrong, kijana huyu wa sasa kafanya mema kweli kweli bila kuchoka, kwa miaka 9 katutowa kwenye umasikini wa kutupwa, katuongezea umri wa kutegemea kuishi, katufunguwa macho na masikio katufanya tuweze kuongea bila uoga, katuonesha nini demokrasia, kafunga mpaka mawaziri wasio waaminifu.

Huyu ndiye ilikuwa tumpate mwanzoni. Lakini ni mipango ya Mwenyeezi Mungu.
 
Back
Top Bottom