ndenjii handsome
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 704
Baada ya kusikia serikali imetoa bilioni 50 kwa ajili ya manunuzi ya mahindi.
Nikaona huu ndio wakati muafaka wa kuuza nikajaza howo zangu tatu mzigo kupeleka kwenye kitengo.
Dah nilichokutana nacho tajiri atabaki kuwa tajiri nae maskini atazidi kuwa maskini hasa kwenye nchi zetu za Kiafrika.
Kiufupi mkulima mdogo hauzi wanaopewa kipaombele mwenye junia kuanzia mia nashukuru nilibeba tu gunia 412 nikajiuzia si unajua ukiwa na jina hapa nchini.
Sikuwa mbinafsi nikamfuata mkulima mdogo aliebeba gunia 30 nikaanza piganae stori akaniambia anasiku ya nne na kila akitaka uza vikwanzo kibao mara maind machafu.
Mara punje ndogo kiujumla ni vikwazo tu ambavyo havina msingi
Nikarudi kwa katajili kenzangu ambako nako kalileta maindi akaniambia kaka huu ndio muda wa kupiga pesa.
Akiwa na maana anaenda walalia wakulima wadogo kwa kilo 260 unapeleka kwenye kitengo 500.
Sikujibu kitu nilichokifanya nikaenda kwa yule mkulima nikamkusanya na wenzake nikaenda wauzia asee walinishukuru.
Tuludi kwenye mada
Kwenu watu wa serikali nimewapa hiyi stoli ili mjionee hela mliyotoa haina msaada wala tija na mpate pakuanzia
Ila kama haya yana mkono wenu endeleen kuwaumiza wananchi kwa ufinyu wa akili zenu
Mngekuwa mnataka kumsaidia mwananchi haya tusingeyaona
Ila ipo siku yenu na mm ndio yule mtu aliekuwa akisubiliwa najua hamuwez kuelewa wala kusikia wala kuambiwa
Muda unakujaa
Asante
Nikaona huu ndio wakati muafaka wa kuuza nikajaza howo zangu tatu mzigo kupeleka kwenye kitengo.
Dah nilichokutana nacho tajiri atabaki kuwa tajiri nae maskini atazidi kuwa maskini hasa kwenye nchi zetu za Kiafrika.
Kiufupi mkulima mdogo hauzi wanaopewa kipaombele mwenye junia kuanzia mia nashukuru nilibeba tu gunia 412 nikajiuzia si unajua ukiwa na jina hapa nchini.
Sikuwa mbinafsi nikamfuata mkulima mdogo aliebeba gunia 30 nikaanza piganae stori akaniambia anasiku ya nne na kila akitaka uza vikwanzo kibao mara maind machafu.
Mara punje ndogo kiujumla ni vikwazo tu ambavyo havina msingi
Nikarudi kwa katajili kenzangu ambako nako kalileta maindi akaniambia kaka huu ndio muda wa kupiga pesa.
Akiwa na maana anaenda walalia wakulima wadogo kwa kilo 260 unapeleka kwenye kitengo 500.
Sikujibu kitu nilichokifanya nikaenda kwa yule mkulima nikamkusanya na wenzake nikaenda wauzia asee walinishukuru.
Tuludi kwenye mada
Kwenu watu wa serikali nimewapa hiyi stoli ili mjionee hela mliyotoa haina msaada wala tija na mpate pakuanzia
Ila kama haya yana mkono wenu endeleen kuwaumiza wananchi kwa ufinyu wa akili zenu
Mngekuwa mnataka kumsaidia mwananchi haya tusingeyaona
Ila ipo siku yenu na mm ndio yule mtu aliekuwa akisubiliwa najua hamuwez kuelewa wala kusikia wala kuambiwa
Muda unakujaa
Asante