AKASINOZO
JF-Expert Member
- Aug 22, 2016
- 1,367
- 2,217
Binafsi nilikuwa naweza kununua nguo kila mwezi lakin sasa bada ya miez 3 au 4 japo m sio mpiga dili inamaana kuna watu wamepungukiwa kitu hapa
Purchasing power imepungua umejuaje?