Napenda sana animation ila hio siwezi angalia, hyo si ya kitoto kabisa ndugu yangu ππwakati huo Mimi nasubiri nipate muda nitazame hii, na nishaipakua..!π₯Ή
View attachment 3430643
Aione Mr. Qwakati huo Mimi nasubiri nipate muda nitazame hii, na nishaipakua..!π₯Ή
View attachment 3430643
nina mdoli wa hivyo nilipewaga zawadi nampenda balaa, huwa nahama naye kila mkoa, anaitwa Mwamposa..Napenda sana animation ila hio siwezi angalia, hyo si ya kitoto kabisa ndugu yangu ππ
Mzee mwenzangu unaangalia katuniπ€£wakati huo Mimi nasubiri nipate muda nitazame hii, na nishaipakua..!π₯Ή
View attachment 3430643
Siku hizi nimepunguza shindii π
Mimi naangalia asubui, mchana, usiku, kiufupi ndio passio yangu.
Sasa mbona mama anasema tangu Ijumaa huonekani nyumbani? Tukajua upo kwa mashirimaaπββοΈπββοΈπββοΈSiku hizi nimepunguza shindii π
Hahahaha hapana shindii, kwanza mimi pombe zangu nanywea ndani tu nikitosheka nalala zanguπSasa mbona mama anasema tangu Ijumaa huonekani nyumbani? Tukajua upo kwa mashirimaaπββοΈπββοΈπββοΈ
Hata mimi ndio starehe ya pili ikitoka kulala. Ila naona uzee sasa, zamani nilikuwa naweza hata kukesha natazama movie. Ila sasa hata kumaliza episode moja ni mtihani. Single movie namaliza baada ya siku tatuπββοΈπββοΈπββοΈMimi naangalia asubui, mchana, usiku, kiufupi ndio passio yangu.
Utajafia humo ndani shaurilo. Toka nje Mungu akuone. Ole wako uniulize yale maswali yenu, nakuachia laana.Hahahaha hapana shindii, kwanza mimi pombe zangu nanywea ndani tu nikitosheka nalala zanguπ
Nakunywa kwa afya tu shindii ,baada ya mlo wala siwezi kufa kizembe kisa pombeπUtajafia humo ndani shaurilo. Toka nje Mungu akuone. Ole wako uniulize yale maswali yenu, nakuachia laana.
Bosi mambo vipiNakunywa kwa afya tu shindii ,baada ya mlo wala siwezi kufa kizembe kisa pombeπ
Poa bwashee , kigamboni hawajambo?Bosi mambo vipi
Hali ni mbaya baridi Kali sanaPoa bwashee , kigamboni hawajambo?
Kula nyagi bwasheeHali ni mbaya baridi Kali sana
πππMzee mwenzangu unaangalia katuniπ€£
Ukiwa pampula, tunakuchapa viboko.Nakunywa kwa afya tu shindii ,baada ya mlo wala siwezi kufa kizembe kisa pombeπ
Mie tom and jery na alvin and chipumunks ndo naangaliaga nikiwa bored.πππ
tena na-enjoy na nacheka balaa, kitu kizuri kuhusu cartoon ni ile fantasy mzee mwenzangu, kuna vitu haviwezekani kwenye maisha ya kawaida ila kwenye cartoon yote yanawezekana hivyo kuna raha yake asikuambie mtu..
na kuna animation nyingi tu zina story line nzuri mno..!