buildings tanzania
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 582
- 2,105
Hii inataka utulivu mkuuMi nimeifuta ntajaribu kuidownload niianze upya. Niliona kama siielewi hivi
Huyu mwanamke ana ashki sanaView attachment 3190781
Penzi la hawa jamaa kwenye agency ni π₯π₯, yaani mdau kamteka demu, kamtesa halafu demu anaomba kabisa kumtunuku muhuni
Huyu tumuweke kundi moja na Ava Winters πHuyu mwanamke ana ashki sana
Exactly π― mkuu mademu wa hivi watamu sana πHuyu tumuweke kundi moja na Ava Winters π
Duh binadamu tuki tofauti sanaNiliangalia non stop ni balaa.
Mkuu inaonekana umezoea za action tu wewe ππDuh binadamu tuki tofauti sana
Mie nimeabpngalia mpaka s4 but nimeiona ya kawaida sana
Hii snowpiercer series ipo sawa na Ile muvi? Unaipa rate ngapi nataka niianze.Mkuu inaonekana umezoea za action tu wewe ππ
Vincenzo jr napenda sana mchango wako katika jukwaa hili, wewe ni mtu wa kipekee sana na ninapenda upewe maua yako mapema mzee. Napenda sana jinsi unavyo zielezea series kabla ya mtu hajazitizama anakuwa tayari kashapata picha ya yajayo, kiukweli mimi huwa nipo nyuma yakoNi nzuri sana hiyo ukicheki EP Moja utaipenda sana enjoy ndugu yangu
shukrani sana ndugu yanguVincenzo jr napenda sana mchango wako katika jukwaa hili, wewe ni mtu wa kipekee sana na ninapenda upewe maua yako mapema mzee. Napenda sana jinsi unavyo zielezea series kabla ya mtu hajazitizama anakuwa tayari kashapata picha ya yajayo, kiukweli mimi huwa nipo nyuma yako
Yani unachokingalia na mm lazima nikicheki .
Jitaidi kila unapo pata mda unazielezea series japo kwa ufupi fupi hivyo hivyo huku ukitambua ya kuwa tupo nyuma yako wadau kwa wingi sana.
Mm nimpenzi wa movies/series tangu nikiwa charii aisee.
Shukrani broo
haipo sawa ni story tofauti naipa rate 7Hii snowpiercer series ipo sawa na Ile muvi? Unaipa rate ngapi nataka niianze.
Haifai kwa familia season 1 na 2 wanalombana live kwenye ile coloni house sasa wewe jichanganye weka mbele ya watotoHawa watoto wenyewe juzi nimekuta wanaangalia Indiana Jones Ina mauchawi uchawi ndani nafkiri wataangalia tu my dear. Thanks a lot mamiii...!
Mkuu kule kwenye coloni house si wanalombana live kule ?FROM haina matusi ni family series sema tu inatisha sidhani kama ni nzuri kwa afya ya akili ya watoto
season 1 π π π π π πMkuu kule kwenye coloni house si wanalombana live kule ?
Better call saulHii inaitwaje?
Jina lake linasomeka hivi kwa kiswahili.Vincenzo jr napenda sana mchango wako katika jukwaa hili, wewe ni mtu wa kipekee sana na ninapenda upewe maua yako mapema mzee. Napenda sana jinsi unavyo zielezea series kabla ya mtu hajazitizama anakuwa tayari kashapata picha ya yajayo, kiukweli mimi huwa nipo nyuma yako
Yani unachokingalia na mm lazima nikicheki .
Jitaidi kila unapo pata mda unazielezea series japo kwa ufupi fupi hivyo hivyo huku ukitambua ya kuwa tupo nyuma yako wadau kwa wingi sana.
Mm nimpenzi wa movies/series tangu nikiwa charii aisee.
Shukrani broo
πππππJina lake linasomeka hivi kwa kiswahili.
vinchenzo junia ππ