Series (Special thread)

Imenibidi nipekue maktaba yangu nimekutana na kitabu chake hapa
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
 
Uwezekano upo ndio mkuu tumia torrent uwe na search engine yake ni pirates bays uwe na network strong kama zile za fiber ukitumia hizi network za haloteli na voda umeisha speed ndogo wiki hizi TZ network ni takataka
Airtel mbps 10 vipi speed yake kaka,inaweza kupiga dk ngapi kudownload 2gb?
 
Si haba,soon nitakua mtu wa kutulia home kwa miezi 2,hii itanifaa,ila nahofia ninapoishi ni nje ya mji,now natumia voda kasi internet kifurushi cha elfu 50 kwa mwezi,ni kituko hata netflix kwenye tv akifungui
Voda supa kasi wezi sana hao Airtel wanapiga kazi hadi nje ya mji mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…