Sergio Ramos katumia Kiswahili katika akaunti yake

Wandegereko,Wazaramo,etc ni dialects

Kuna Waswahili hasa,lugha yao kwa 800yrs ni Kiswahili hiki unachozungumza!

Kiswahili ni lugha ya Tanzania kutokana na political decision ya Nyerere,walikua wachukue Kisukuma,aka-veto!

Unadhani Kiswahili ni alien language dropping from the sky to Tanzania!?

No,ni lugha mojawapo wa lugha zaidi ya 250 na inatokana na kabila dogo tu pwani!

Get that into your head!
Una habar hiki kiswahili chetu ni lahaja ya unguja... Hao wazaramo wanaongea lahaja gan ya kiswahili?
 
Siko hapa kuzungumzia lahaja za lugha ya Kiswahili sio lugha yangu,ni lugha ya wengine

Nimejifunza kama wewe na yule,siwezi kaa hapa na claim lugha ya watu as my own!

Lugha yangu mimi inayonihusu inakufa,na zingine 250 zinakufa sababu ya uzembe wetu wenyewe wakuto ku-preserve hizi lugha kwa kuamua kung’ang’ania moja na kuua zingine kwa makusudi mazima

Mwisho wa siku kitabaki Kiswahili pekee,then Kiswahili nacho kitafia mbali na Kiingereza kutawala!

Endeleeni kuua lugha zote
Nimezaliwa nimekuta kwetu wanaongea kiswahili... Hivyo it's my first language
 
Not true

Mtoto wangu kazaliwa tunamuongelesha Kiingereza,hivyo yeye ni Muingereza?

Mswahili sio lugha pekee,ana utamaduni wake unique wewe unao na unauishi?Si kweli.

Ni jamii inayo exist zaidi ya maelfu ya miaka,wana DNA zinazo relate,wewe unazo?Huna

Wabara wame adopt Kiswahili miaka 50 iliyopita ambapo ni juzi tu!
Ndo maana nikakwambia ni lugha yangu ya kwanza... Na nadhani ndo naijua vizuri zaidi... Hata kama mimi si mswahili,but it's my first language.
 
Unajiangalia wewe wenyewe sio?

Hii dunia ina ubinafsi sana!

Kabila lako wazazi wako walilotoka lugha ni kaputi na in 5 yrs to come inafutika!

Then utabakia na pride ya kimama sana eti mimi “Mswahili”!

Aiseee
Aliyesema mimi mswahili nan? Unajua maana ya mswahili? Mswahili ni mtu wa pwani... Mimi najua kiswahili...kwan kila anayejua kiingereza ni mwingereza?
 
Hakuna matata tours safaris kibao, magest, lodges, beach resorts, etc

Kapitieni hizo copy rights sijui zina semaje na ni kwa upande gani...
Kumbe walifanikiwa kumiliki ?
Screenshot_20200130-033313.png
Screenshot_20200130-033336.png
Screenshot_20200130-033601.png
Screenshot_20200130-034218.png
 
Sio lazima aniambie,huoni hapo kaweka emoji ya Simba?UNAMJUA Mufasa WA KWENYE king Lion?Yaani bila shaka mkabisa najua kautoa humo.
Usitumie nguvu kubwa sana kumwelewesha.....

Atafute pia movie inaitwa Where'd You Go, Bernadette ya 2019.Wametumia Wimbo ule wa Jambo habari gani..

Kuna mzungu wakati watoto wanaimba anasema ''I love this song..is it African?Mwenzie anajibu Yeah its Kenyan Pop Song''

Nikajiuliza vitu vingi mno..mtu wa karibu kabisa akaniambia kwa jinsi tunavyoharibu Kiswahili Watanzania ni ngumu sana kushindana na Kenya wanatumia Fursa.

Mara nyingi hata ukisikia mahojiano ya Wasomi wetu kule BBC swahili...Utagundua Kenya..Uganda na Congo wana hangaika sana kunyoosha kiswahili chao. Wakati sisi tunaosema ni chetu..kila baada ya neno kuna Lugha ya Malkia na hata muda mwingine kuboronga juu zaidi.

Sema kwa kuwa wengi ni wabishi hasa kwenye kweli...
Watz wengi hatutumii neno Hakuna Matata
Sisi huku ni hakuna shida...Usijali ndio maneno makuu kwa wengi sana.

T
usiwalaumu sana Wakenya tubadilike tupunguze visingizio viiingi visivyo na sababu.
 
Back
Top Bottom