Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,390
- 21,040
Pale Tim na Pumbaa aah nikisikia hayo majina nafurahi kwa kweli kunavipande navutiwa navyosana ukiplus na upuuzi wa hao watu 2 ndio nafurahi zaidiSijalazimisha mtu aamini. Ila mimi najua hakuna matata kaitoa kwenye series au film za Lion the king. Pale Tim na Pumbaa wanavyoimba Hakuna matata.