Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

kila la kheri mtakaoenda.....mwambieni T.I sister anakusalimia sana.....
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa alivyiwasili leo usiku alizua tafrani Airport

10703624_775757219130237_2061264776911221765_n.jpg
 

Hivi hawa nao Clouds wanataka kufanya tamasha la wasanii wangapi? Yani wasanii wote wale bado na davido walikuwa wana muhitaji? Wasanii wa kibongo si chini ya 25 na wanje kama wanne +T.I .
Kwa mtindo huu wasanii wa kibongo lazima walipwe kidogo!
 
Huyu jamaa alivyiwasili leo usiku alizua tafrani Airport

Dengue sasa hii issue imeishia wapi? Na ilisoviwa vipi wakati inaonesha huyu hana kibali kwa sasa?
 
Last edited by a moderator:
Hivi hawa nao Clouds wanataka kufanya tamasha la wasanii wangapi? Yani wasanii wote wale bado na davido walikuwa wana muhitaji? Wasanii wa kibongo si chini ya 25 na wanje kama wanne +T.I .
Kwa mtindo huu wasanii wa kibongo lazima walipwe kidogo!

Davido alishakuwa booked na watu wengine toka kitambo wao wamekurupuka ili kuharibu biashara za wenzao. Mbaya zaid wamezuiwa kumtumia na watu wa regulations tena kitengo cha serikali ila wamemtumia jk kuonyesha ubabe. Niliandika uzi jana hapa kuna kipapa kauondoa.
 
Davido alishakuwa booked na watu wengine toka kitambo wao wamekurupuka ili kuharibu biashara za wenzao. Mbaya zaid wamezuiwa kumtumia na watu wa regulations tena kitengo cha serikali ila wamemtumia jk kuonyesha ubabe. Niliandika uzi jana hapa kuna kipapa kauondoa.

matumbo hule usingewezwa kuachwa kwa sababu jambo lilikuwa halijatokea labda uandike sasa!
Andika
 
Last edited by a moderator:
matumbo hule usingewezwa kuachwa kwa sababu jambo lilikuwa halijatokea labda uandike sasa!
Andika

Ah siwezi andika tena nilimaind sana. kina Invisible siku hizi wapo kibiashara zaidi hii ishu wanaijua vizuri ata heka heka za kunusuru ujio wa T.I wanazijua sana na thread yangu wakafuta.
 
Last edited by a moderator:
Ah siwezi andika tena nilimaind sana. kina Invisible siku hizi wapo kibiashara zaidi hii ishu wanaijua vizuri ata heka heka za kunusuru ujio wa T.I wanazijua sana na thread yangu wakafuta.

Kuna nyuzi ukianzisha haiwezi kuachwa kama hile ya kusema T.I haji haikuwa nzuri maana ingeharibu biashara za watu! Lakini kama hii ya Davido ungeileta na vielelezo kama hivyo wasingeifuta!
 
Last edited by a moderator:
tafrani gani tena.....?

Alidai ameibiwa simu yake pale Jnia,akaanza kuporomosha matusi kumbe aliisahau kwenye ndege. Ilipoonekana alitakiwa aje mwenyewe kuomba samahani. Na alifanya hivyo.
 
"Yo just keep it locked on the best radio station in town,serengeti fiesta sambaza upendo,serengeti fiesta ni shidaa"--T.I

No Mediocre.
 
Back
Top Bottom