Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

haaa haaa haaaa am sorry hii ni up date list hadi muda huu,1. Ally Kiba ila naona ni kama kaandaliwa na Clouds ok tuyaache,2. Mwana F.A,3. Blue na 4. Stamina ok hii list any time itachange mana aliyebaki huko kwa kazi ya stejini hana mtu hapa dsm
 
king kajitahidi,ngoja tumsubiri king of kings,msaidizi wa wanyonge wanaotaka kutoka
 
haaa haaa haaaa am sorry hii ni up date list hadi muda huu,1. Ally Kiba ila naona ni kama kaandaliwa na Clouds ok tuyaache,2. Mwana F.A,3. Blue na 4. Stamina ok hii list any time itachange mana aliyebaki huko kwa kazi ya stejini hana mtu hapa dsm

aisee mkuu FA embu muache hapo hapo bana..hakuna aliyemfunika mpaka mda huu
 
Nani anazomewa tena....mbona booooo zinaanza kusikika
 
Kiba mshenzi kakodi wajinga wenzie a kkoo kumzomea diamond bt am sure domo atawaziba midomo tuu hata wamrushie makopo,domo atamzid hata TI shangweeeee
 
Ali kibaaaaa.

Diamond akipanda anawashona lips.
 
Back
Top Bottom